Makapuku Forum

10/Motorcross
Haya ni maonyesho/mashindano au mbio pengine mchezo ya pikipiki kwenye barabara za vumbi au sehemu maalumu iliyotengenezwa mafuta/vilima
Sasa huu mchezo unaendesha pikipiki kwa spidi kubwa halafu ukifika kwenye kilima unarushwa juu pengine umbali wa futi 10 na hata 50 sasa hapo ukikosea mahesabu shauri yako
Pia mara nyingine pikipiki inapata hitilafu ya kiufundi
Ilitokea ajali watu huumia vibaya na hata kufa
...........
 

Huyu mzee Hii Wizara haimfai
.....
Wakupe wewe angalau kwa miezi mitatu hivi ujaribu?

Kuna hoja imezuka duniani kote kuwa pengine democracy (whatever that means) has run its course na kwa sasa dunia inatafuta mfumo mpya. Hali ya kiuchumi inavyozidi kuwa tete na pengo kati ya masikini na matajiri likizidi kuongezeka, demokrasia pengine haitafaa tena katika kuleta ridhiko na utangamano katika jamii. Badala yake udikteta (katika sura zake mbalimbali) ndiyo mfumo pendelewa. Marekani yenyewe ambayo ndiyo ilikuwa mlinzi wa demokrasia hii ya Kimagharibi leo hii chini ya Trump hali imeanza kuwa tete.

Anyway, huyu mzee ana tabia ya kutoa matamko ya ajabu kwa hivyo hata hili halishangazi sana japo inavyoonekana hii wizara mpya hii ameikamia kweli kweli. Twafaaaaa!!!
 
Natumaini ndondi na Mixed Martial Arts havitakosekana! Ordering popcorn now...
 
9/Rugby
Huu mchezo nao ni hatari
Kwa Afrika unachezwa zaidi wazungu Wa Afrika ya Kusini
Wachezaji wake ni mbavu nene maana kuna kukimbia,krruka na kusukumana hivyo wengi huumia mbavu,kuvunjika pia,kuzimia n.k
Ajali zake mbaya mara nyingi ni zile za kugongana ambazo wachezaji huzimia na hata kupoteza maisha
........
 
Kweli
 
Hatari ila watakuwa wanajiandaa mazoezi ya kutosha
Tena nitatulia km MTU anaejamba
 
kwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…