Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Ha ha haaaa. Eti "Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?"Sawa Faiza
.......
All the Time God is Good. Signature nzuri. Ujumbe maridhawa!Enzi za mambo hayo
Single mtambalike Richie Richie
All the time God is good
Shedede anapata mke hivi hivi dah! I can't believe this!
Halafu leo lile babu la Kinyaki linaloongoza Wizara ya Utamaduni na Habari linapotosha watu "hakuna wanamuziki waliowahi kufanikiwa na kuimba siasa" ni maneno ya kipuuzi yaliyozidiwa uelewa hata na kuku mwenye mdondoSiwalaumu Marastafari wenzake kumpachika cheo cha unabii katika dini yao. Alikuwa na falsafa nzito sana kuhusu maisha, nafasi ya binadamu hapa duniani, migongano ya kitabaka, ubaguzi na mengineyo mengi. Ukizisikiliza nyimbo zake kwa uangalifu utagundua kwamba alikuwa na ujumbe mzito sana na aliweza kuuwasilisha kwa ustadi wa ajabu.
Basi siku moja niko mitaa fulani huko kwa Trump na Corolla yangu iliyochoka nikiwa bado mgeni mgeni mwanafunzi. Nimechochea "I shot the sherrif but I swear it was in self defense" kwenye red light na madirisha yako wazi. Kuja kuangalia pembeni kumbe kuna polisi naye kafungua madirisha. Jasho lilinitoka kwa sababu hata leseni nilikuwa sina. Kwa bahati nzuri taa zikaruhusu kila mtu akaenda kivyake. Sitakaa nisahau!
Hiki ni Kindali? Kwa vile ni Kibantu angalau nimeambulia neno moja (kalumbu = dada). Nimepatia?Nalembuka kalumbu gwaga mukomu
Kumbe hiyo slang ni toka kitamboSiwalaumu Marastafari wenzake kumpachika cheo cha unabii katika dini yao. Alikuwa na falsafa nzito sana kuhusu maisha, nafasi ya binadamu hapa duniani, migongano ya kitabaka, ubaguzi na mengineyo mengi. Ukizisikiliza nyimbo zake kwa uangalifu utagundua kwamba alikuwa na ujumbe mzito sana na aliweza kuuwasilisha kwa ustadi wa ajabu.
Basi siku moja niko mitaa fulani huko kwa Trump na Corolla yangu iliyochoka nikiwa bado mgeni mgeni mwanafunzi. Nimechochea "I shot the sherrif but I swear it was in self defense" kwenye red light na madirisha yako wazi. Kuja kuangalia pembeni kumbe kuna polisi naye kafungua madirisha. Jasho lilinitoka kwa sababu hata leseni nilikuwa sina. Kwa bahati nzuri taa zikaruhusu kila mtu akaenda kivyake. Sitakaa nisahau!
Timu zote zimebakiza mechi tatu tatuAseno amebakisha mechi 3?
mugore wanje ulimo tseulahvehaa mughabo
Ahsante Mr SHIMBA YA BUYENZEAll the Time God is Good. Signature nzuri. Ujumbe maridhawa!
Upo sahihi kabisaHiki ni Kindali? Kwa vile ni Kibantu angalau nimeambulia neno moja (kalumbu = dada). Nimepatia?
Zamani alikuwa adui yangu mkubwa ila taratibu nimeanza kumuelewaHa ha haaaa. Eti "Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?"
Sijamsikia siku nyingi hapa JF. Jeshi la mtu mmoja. Hata muwe 100 atawashinda tu kwa hoja (na matusi ya hapa na pale) pamoja na mafungu ya vitabu vitakatifu na marejeo mbalimbali.
Wajamaika wanaongea Kiingereza cha Uingereza. Ndiyo lugha yao rasmi. Hata hivyo wana lahaja yao tambulishi ya Kiingereza iliyochanganyika na lugha za Afrika Magharibi walikotoka na hata Kihispania. Kuwaelewa inabidi usikilize kwa makini. Ndiyo lahaja aliyokuwa akiitumia Bob. Ukichanganya na ukweli kwamba alikuwa high most of the times basi ni "shida" tupu!Kumbe hiyo slang ni toka kitambo
Una bahati sana mkuu
All the time God is good
mugore wanje ulimo tse
ndakukunda chane ingo pm
pimbi ahsante nilifanikiwa
All the time God is good
Hakika mkuuWajamaika wanaongea Kiingereza cha Uingereza. Ndiyo lugha yao rasmi. Hata hivyo wana lahaja yao tambulishi ya Kiingereza iliyochanganyika na lugha za Afrika Magharibi walikotoka na hata Kihispania. Kuwaelewa inabidi usikilize kwa makini. Ndiyo lahaja aliyokuwa akiitumia Bob. Ukichanganya na ukweli kwamba alikuwa high most of the times basi ni "shida" tupu!
Asante kwa magaezeti shunie
magazeti yamewajia kwa udhamini mkubwa wa mr & mrs lee empire
mbarikiwe sana muwe na asbh iliyo njema kwenu
Mbona husikii kuhusu hilo jina?pimbi ahsante nilifanikiwa
Nimeona mkuuCc Mndali
All the time God is good