Makapuku Forum

RIP Luteni Kanali Adolf Eichman
 

Ni mtaalamu Wa kukusanya kijiji kizima
Siku makali yake yamepungua
......
 
RIP Robert Nesta Marley BOB Marley hakika hausauliki uko mioyoni mwa wengi
 
1986 - Abou Diaby anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa.

Alitabiriwa kama Patrick Vieira mpya wa Arsenal lakini alishindwa kufikia malengo yake kutokana na majeruhi kibao yaliyomuandama.

Nafikiri mpira wake mwingi ameuchezea hospitalini maana ni miongoni mwa wachejazi ambao ni mabingwa wa kutumia hata kwa matukio ya kawaida tu
Mwingine ni Jack Wilshere
..........
 

Nafikiri angekuwa ni Mhuspaniola angevumiliwa tu kama Sergio Bosquets ambaye ni kiungo garasa tu
....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…