Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Inaonekana uko makini sana katika kukosoa miili ya watu. It seems you are physically perfect Mr. NyageiHuo ni mwili wake kweli mbona kama kajazwa jazwa as a toy?
Huo ni mwili wake kweli mbona kama kajazwa jazwa as a toy?
Amen,nafurahia shuhuda hizi:Mama Mchungaji. Umegusia Falsafa kabisa ya maisha yangu. Kwa vile nimeshafanikiwa kuacha kunywa pombe sasa bajeti yangu ina nidhamu sana. Lile fungu la 10 mimi hulitumia katika kusaidia wenzangu wenye shida moja kwa moja.
Ukienda huko mahospitalini ndo utaona bahati uliyonayo kwamba ungali na afya. Kuna binadamu huko wana magonjwa sugu na wengine wameshakata tamaa. Wengine ni masikini kabisa na wameshatelekezwa na familia zao. Wako huko mahospitalini wanasubiri kufa. Hawa hata ukimpa elfu moja unamuona anatoa machozi. Ukimpelekea matunda, sabuni, blanketi na hata mafuta ya kujipaka tu anakuona kama malaika. Na cha muhimu zaidi ni maongezi na upendo wa kibinadamu. Kuonyesha kuwa unawajali. Kuwapa matumaini kuwa Mungu bado Anawapenda. Kwamba waweke matumaini katika Yeye Aliyewafia. Kwamba kila kitu kitakuwa sawa.
Ninayo mifano mingi ya watu hawa na kusema kweli ndiyo wamebadilisha mtazamo wangu kuhusu maisha. Kuwasaidia hawa wenye shida kusema kweli ndiyo dini ya kweli.
Halafu mwalimu wangu mmoja hapa alitusisitiza sana kuwa kila siku angalau tufanye tendo moja jema kwa mtu mwingine - random act of kindness. Hii yaweza kuwa maneno ya kutia moyo, kusali pamoja na/au pesa kidogo. Mfano upo kwenye daladala na nyuma yako amekaa bibi kizee. Basi unamlipia nauli kwa siri. Na akifikiwa konda akimwambia bibi wewe nauli yako kuna mtu huko mbele kakulipia. Kitendo kidogo hiki lakini kinaweza kubadilisha siku ya mtu kabisa. Siku moja pale posta mpya kwenye matope mzee mmoja akakatikiwa na kandambili zake. Kwa pembeni pale kulikuwa na machinga anauza open shoes za ngozi. Basi nikamwambia mzee yule achague open shoes za ngozi imara. Alipigwa na butwaa na hakuamini mpaka akaanza kulia. Alichagua viatu imara, mimi nikamlipa yule mmachinga nikaondoka zangu. Ni matendo madogo madogo kama haya yanayotendwa kwa moyo mweupe bila kutegemea malipo wala fadhila ndiyo yanaweza kuuonyesha upendo wa Mungu kwa binadamu wenzetu. Na kupitia kwayo ndiyo tunaweza kupata ridhiko la kweli na thamani halisi ya maisha yetu. Asante sana mama Mchungaji kwa kutukumbusha wajibu huu mtakatifu. Mungu na Atusaidie tupunguze ubinafsi na kiburi cha kibinadamu. Good night!
Yaani you on top haitakiwi?hahhahah si unajua wengine tumefundwa lazima umsikilize mwanaume wako ujue nini hapendi nini hataki ili muende sawa na usipende kuwa juu yake
Ubarikiwe sana SHIMBA YA BUYENZEMama Mchungaji. Umegusia Falsafa kabisa ya maisha yangu. Kwa vile nimeshafanikiwa kuacha kunywa pombe sasa bajeti yangu ina nidhamu sana. Lile fungu la 10 mimi hulitumia katika kusaidia wenzangu wenye shida moja kwa moja.
Ukienda huko mahospitalini ndo utaona bahati uliyonayo kwamba ungali na afya. Kuna binadamu huko wana magonjwa sugu na wengine wameshakata tamaa. Wengine ni masikini kabisa na wameshatelekezwa na familia zao. Wako huko mahospitalini wanasubiri kufa. Hawa hata ukimpa elfu moja unamuona anatoa machozi. Ukimpelekea matunda, sabuni, blanketi na hata mafuta ya kujipaka tu anakuona kama malaika. Na cha muhimu zaidi ni maongezi na upendo wa kibinadamu. Kuonyesha kuwa unawajali. Kuwapa matumaini kuwa Mungu bado Anawapenda. Kwamba waweke matumaini katika Yeye Aliyewafia. Kwamba kila kitu kitakuwa sawa.
Ninayo mifano mingi ya watu hawa na kusema kweli ndiyo wamebadilisha mtazamo wangu kuhusu maisha. Kuwasaidia hawa wenye shida kusema kweli ndiyo dini ya kweli.
Halafu mwalimu wangu mmoja hapa alitusisitiza sana kuwa kila siku angalau tufanye tendo moja jema kwa mtu mwingine - random act of kindness. Hii yaweza kuwa maneno ya kutia moyo, kusali pamoja na/au pesa kidogo. Mfano upo kwenye daladala na nyuma yako amekaa bibi kizee. Basi unamlipia nauli kwa siri. Na akifikiwa konda akimwambia bibi wewe nauli yako kuna mtu huko mbele kakulipia. Kitendo kidogo hiki lakini kinaweza kubadilisha siku ya mtu kabisa. Siku moja pale posta mpya kwenye matope mzee mmoja akakatikiwa na kandambili zake. Kwa pembeni pale kulikuwa na machinga anauza open shoes za ngozi. Basi nikamwambia mzee yule achague open shoes za ngozi imara. Alipigwa na butwaa na hakuamini mpaka akaanza kulia. Alichagua viatu imara, mimi nikamlipa yule mmachinga nikaondoka zangu. Ni matendo madogo madogo kama haya yanayotendwa kwa moyo mweupe bila kutegemea malipo wala fadhila ndiyo yanaweza kuuonyesha upendo wa Mungu kwa binadamu wenzetu. Na kupitia kwayo ndiyo tunaweza kupata ridhiko la kweli na thamani halisi ya maisha yetu. Asante sana mama Mchungaji kwa kutukumbusha wajibu huu mtakatifu. Mungu na Atusaidie tupunguze ubinafsi na kiburi cha kibinadamu. Good night!
Husnaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...husna!muone huyo jmn.Ni ww tu hakuna mwingine..
Nakupenda sana..
Ndio mambo yako hayoBofulo hili kwa chai na blue band tamu sana
Sio perfect 100%Inaonekana uko makini sana katika kukosoa miili ya watu. It seems you are physically perfect Mr. Nyagei
Ni binti tu mjasiriamali na ana duka lake la nguo mtandaoni. Kuna picha amevaa bikini anauza. Kama ni toy kusema kweli sijui ila ni kibonge wa wastani mweupe na mrembo ajabu (at least kwangu). Ni mwanamke aliyekamilika. Mwanamke wa ndoto zangu. Shunie njoo unisaidie kumtetea huyu binti huku...
Sio kukagua sana mama kidogo tuMmh mnakagua sana
Oh ! asante mdau ngoja nijaribu kuipandisha tenaVideo ya pili mkuu iko cracked
Husnaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...husna!muone huyo jmn.
Sawa mkuuOh ! asante mdau ngoja nijaribu kuipandisha tena
Kila mtu na maisha yake. Wewe ni nani mpaka umpangie mwingine jinsi ya kuishi? Eti nimpangie diet, ili iweje? Sexy body attractive ni ipi? Is it universal? I can't believe this!Ndio mambo yako hayo
Sio perfect 100%
Ila anajiachia sana huo mwili ni wa kivivu sana, in short lifestyle yake si nzuri.
Umesema ni mwanamke wa ndoto zako vizuri sana ila jaribu kumpangia diet na mazoezi ili awe na sexy body very attractive.
Sio kukagua sana mama kidogo tu
Nimeshtuka kumuona alivyojiachia hivyo, mwili umejaa calories.
Yuko vizuri. Nilijaribu kujifunza kupiga gitaa. Aisee ni gumu balaa hata wiki sikumaliza nikasarenda...Nimempandisha upya Dekula Kahanga aka Vumbiii
Amen mtumishi mwema. Damu kombozi ya Yesu ikawe kinga yako wewe pamoja na wapendwa wako!ZABURI 4
8. Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara,Maana wewe ,BWANA ,peke yako ndiwe unijaliae kukaa salama
DAMU YA YESU IWAFUNIKE
Kila mtu na maisha yake. Wewe ni nani mpaka umpangie mwingine jinsi ya kuishi? Eti nimpangie diet, ili iweje? Sexy body attractive ni ipi? Is it universal? I can't believe this!
Kwangu mimi hivi hivi alivyo na ubonge wake ngozi laini nyama nyama ndiyo perfect. Wewe hangaika na huyo wa kwako mwenye sexy attractive body na mwili usio na calories.
Naweza kuona udikteta wa kutisha nyumbani kwako, kwa mkeo na watoto (siku utakapokuwa nao). Najua pengine ungali kijana upo shuleni na hizi universals za uzuri wa kizungu zimekukamata kweli kweli mpaka uko tayari tena bila aibu kabisa kumpangia mtu kanuni za uzuri, body type mpaka mlo. Umenishangaza sana kwa kweli!
Ngoja nikupe email yake umshauri kuanza hiyo diet ili awe na hiyo attractive sexy body mkuu...
Email nitatuma kwako kisha wewe una-apply nae maisha yanaenda.Kila mtu na maisha yake. Wewe ni nani mpaka umpangie mwingine jinsi ya kuishi? Eti nimpangie diet, ili iweje? Sexy body attractive ni ipi? Is it universal? I can't believe this!
Kwangu mimi hivi hivi alivyo na ubonge wake ngozi laini nyama nyama ndiyo perfect. Wewe hangaika na huyo wa kwako mwenye sexy atyracrive body na mwili usio na calories.
Naweza kuona udikteta wa kutisha nyumbani kwako, kwa mkeo na watoto (siku utakapokuwa nao). Najua pengine ungali kijana upo shuleni na hizi universals za uzuri wa kizungu zimekukamata kweli kweli mpaka uko tayari tena bila aibu kabisa kumpangia mtu kanuni za uzuri. Umenishangaza sana kwa kweli!
Ngoja nikupe email yake umshauri kuanza hiyo diet ili awe na hiyo attractive sexy body
Asante sana sanaYuko vizuri. Nilijaribu kujifunza kupiga gitaa. Aisee ni gumu balaa hata wiki sikumaliza nikasarenda...
Instrumental ya hatari.Nimempandisha upya Dekula Kahanga aka Vumbiii
Asante ObeNimempandisha upya Dekula Kahanga aka Vumbiii