Makapuku Forum

mfalme hirohito aliiponza Japan na kusababisha ipigwe bomu la nyuklia kwa kukataa kusarenda kwenye vita kuu ya pili ya dunia.

Mkuu Bitoz nini siri ya wajapani kuishi miaka mingi hivyo?
 
4/Abdul Halim of Kedah
Huyu ni Mfalme/mtawala wa Malaysia aliyezaliwa Novemba 28 mwaka 1927
Ndiye kiongpxi mwenye jina refu zaidi duniani likiwa na maneno/jina 14(nimeshindwa kabisa kuliandika)
Alianza kuiongoza Malaysia tangu mwaka 1957
Ana umri wa miaka 89
..........
 
Afrika haijawahi kuniangusha katika siasa. Yeye kika uchaguzi anashinda ikimaanisha watu wanamkubali na kumchagua lakini watu hao hao wanaumaskini wa hali ya juu mno.
 
Raul Castro anaonekana mzee kumshinda komredi Fidel.
 
Afrika haijawahi kuniangusha katika siasa. Yeye kika uchaguzi anashinda ikimaanisha watu wanamkubali na kumchagua lakini watu hao hao wanaumaskini wa hali ya juu mno.
Anashinda kwa 90%+
Huyu jamaa nahisi anajua kula na Wanajeshi ndio maana hawampindui wanaishia kumuangalia tu
.
.
Km Sizonje anavyowabeba wajeda kwenye vyeti feki na pia kuwapa ulaji wa tenda
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…