Mwanzo ni Mwisho
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 4,397
- 10,846
Asante sana mkuu bitozi!!!5/Bhumibol Abulyadej
Huyu kazaliwa Desenba 05 1927
Ndiye Mfalme wa Thailand japo madaraka yake yamepunguzwa
Aluanza kuwa Nfalme mnamo mwaka 1946
Sheria za Thailand zinakata kuujadili umri wa Mfalme hivyo naishia hapo(itamke wewe mwenyewe)
.........
kweli????wala nina miezi sijanywa mm ni mnywaji
Nashukuru kumfahamu,heshima yko shemeji shededehuyo nae shemeji ni mlinzi wangu anaitwa shedede
sio Putin yule??pembeni yake ni master mind mmoja hatarii
515/Bhumibol Abulyadej
Huyu kazaliwa Desenba 05 1927
Ndiye Mfalme wa Thailand japo madaraka yake yamepunguzwa
Aluanza kuwa Nfalme mnamo mwaka 1946
Sheria za Thailand zinakata kuujadili umri wa Mfalme hivyo naishia hapo(itamke wewe mwenyewe)
.........
ndio huyohuyo putin master mindsio Putin yule??
Soma vizuri tarehe aliyozaliwa na sio alioingia madarakani
Aisee5/Bhumibol Abulyadej
Huyu kazaliwa Desenba 05 1927
Ndiye Mfalme wa Thailand japo madaraka yake yamepunguzwa
Aluanza kuwa Nfalme mnamo mwaka 1946
Sheria za Thailand zinakata kuujadili umri wa Mfalme hivyo naishia hapo(itamke wewe mwenyewe)
.........
kweliiii muulize leekweli????
I seeSoma vizuri tarehe aliyozaliwa
..........
mfalme hirohito aliiponza Japan na kusababisha ipigwe bomu la nyuklia kwa kukataa kusarenda kwenye vita kuu ya pili ya dunia.9/Akihito
Huyu ni Mfalme wa Japan aliyezaliwa mnamo Desemba 23 mwaka 1933
Alianza kuirawala Japan kuanzia mwaka 1989 baada ya kifo cha Mfalme Hirohito ambaye alikuwa ni babaye
Anafahamika zaidi nchini humo kutokana na machapisho yake
Ana umri wa miaka 83 lakini kwa huko Japan ni km kijana tu maana kuna vikongwe kibao vyenye zaidi ya miaka 100
.........
lee ni mngoni eh??kweliiii muulize lee
Afrika haijawahi kuniangusha katika siasa. Yeye kika uchaguzi anashinda ikimaanisha watu wanamkubali na kumchagua lakini watu hao hao wanaumaskini wa hali ya juu mno.8/Paul Biya
Huyu ni Rais wa Cameroon ambaye amezaliwa Februari 13 mnamo mwaka 1933
Ndiye anashikiria rekodi ya Rais wa kuchaguliwa aliyepo madarakani muda mrefu zaidi wa miaka 33 yaani anashinda kila uchaguzi ukifanyika
Ana umri wa miaka 84
.............
Mazoezi na misosi (kula km nguruwe hakuna kuchagua chakula)mfalme hirohito aliiponza Japan na kusababisha ipigwe bomu la nyuklia kwa kukataa kusarenda kwenye vita kuu ya pili ya dunia.
Mkuu Bitoz nini siri ya wajapani kuishi miaka mingi hivyo?
sio mngoni vipiiiii kwani kuuliza kabila ya watulee ni mngoni eh??
Raul Castro anaonekana mzee kumshinda komredi Fidel.7/Raul Castro
Huyu ni kiongozi wa Cuba aliyezaliwa mnamo Juni 03 1931
Kwa sasa anaiongoza Cuba karibia mwaka wa 10 baada ya kuachiwa madaraka na kakaye Fidel Castro
Wakati wa utawala wa Fidel Castro ,Raul alikuwa Waziri wa Ulinzi kwa takriban miaka 50
Ana umri wa miaka 85
........
Pamoja mkuupole sana mkuu, kazi mungu
Anashinda kwa 90%+Afrika haijawahi kuniangusha katika siasa. Yeye kika uchaguzi anashinda ikimaanisha watu wanamkubali na kumchagua lakini watu hao hao wanaumaskini wa hali ya juu mno.
wangoni si wanapenda hizo vitu, asa nikajua amekufundishasio mngoni vipiiiii kwani kuuliza kabila ya watu