Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pamoja sana
.
..
.wale jamaa uliowasema kwamba "wanaiga huu Uzi" wasikuumize kichwa....kawaida thread kuanza kwa spidi kisha hupotea taratibu

Hii yetu haifi kwavile inahuusu mada mchanganyiko na inabadilika kila siku kulingana na matukio sasa watu watajadili kitu kimoja usiku hadi mchana kila siku si watachoka tu

Pia sisi hakuna kujikweza kila mtu anajisikia hapa kwake na hata kupeana like sio ishu sasa fikiria sehemu ambayo kila mtu anajiona supastaa na kuchati kwa mjuano
......
 
bb1aa8b0b9e2685e8eacea480a884d9e.jpg

Hadi sasa Juve keshaingia fainali kumfuata Real Madrid
.
.
Kwa kufuli wanalolifunga Wataliano sioni Monaco akiambulia hata magoli pamoja

.......
Kazi imekwisha hapo

All the time God is good
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom