Engineer Hassan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 477
- 504
Jinsi walivyoungana unaweza kusema utaweza kuwatenganisha hata kwa mkasi tuhalaf wameungana kidogo tu

Jinsi walivyoungana unaweza kusema utaweza kuwatenganisha hata kwa mkasi tuhalaf wameungana kidogo tu

Duh8/Daisy & Violet Hilton![]()
![]()
Hawa walizaliwa 1908 mama yao akiwa binti wa miaka 19
Mama yao alikuwa ni baamedi na sistaduu Hivyo kuamua kuwauza kwa bosi wake( namaainisha kuwauza km unavyouza vitu dukani)
Huyo jamaa akawaweka showroom na kuingiza pesa kutokana na burudani yao iliyotukuka
Wakatekwa na wafanyabiashara wengine na kuanza kuwatembeza sehemu mbalimbali duniani
.......
Mh mbona unashangilia wakati huangalii mpiraMndali nipo mbali siangalii mpira
Ndio,mbele kidogo ya mizaniOK vigwaza hapo wanapo gonga vibali wanao enda nje ya nchi
Usiwe una reply mambo ya siku nne zilizopita, unasoma tuHapa ndipo nashindwa kuelewa wanaposema Mungu huwa hakosei kuumba.
Poa mkuu we niambie kama unapajua hapo kwenye hicho kiwandaNdio,mbele kidogo ya mizani
Nakijua kipo kabla ya kufika kongowe, panaitwa kwa mfipaShululu unapajua kwenye hicho kiwanda au hupajui maana naona unaipeleka chalinze wakati mi nataka kukuelekeza hapo jirani
Hahahhh na ww umetulia kweliNimeambiwa nitulie
Sawa swahiba nimekuelewaUsiwe una reply mambo ya siku nne zilizopita, unasoma tu
tunaongoza tuNini tena dada na Simba yako
Poa poaSawa swahiba nimekuelewa
Sijui....nipo mimi nakuona ujue mama mchuchu anaumwa yupo hospital
Mndali niacheMh mbona unashangilia wakati huangalii mpira
Bora umeongea shem wangeUsiwe una reply mambo ya siku nne zilizopita, unasoma tu
Eb rud uendelee kuongeza style
Sijui..........shida ni nini?




jamaan huyu baba mchuchu wa kuchorwaKidogoNa wewe unapenda mpira