Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Tokaaa!vibonge oyeeee

Tokaaa!vibonge oyeeee

atapata chelsea sio wa mchezo mchezoAnahitaji point nne tu awe bingwa
Sio leo tu hata juzi kati hapa alicheza hivyo Isco aling'aa sana wakishinda 3-2Sana, mimi ndio nimejua leo ukubwa wa kikosi chake
Nigei link mkuu niuoneNisemee tuu...
Ila najua ule uzi haujauona wewe
Mama mchungaji muda si mrefu ataibuka hapaHahaaa! Najua hapo kanielewa japo nimejaribu kumficha mtu kama mama mchuchu
huo uzi ata lee sitaki auoneNisemee tuu...
Ila najua ule uzi haujauona wewe
Wa vibonge?Nisemee tuu...
Ila najua ule uzi haujauona wewe
HahahhhNdio, ni mkoa lakini
Ila tuna raha nikianzaga kumbemba lee acha tuTokaaa!![]()
Tatizo na ligi yenyewe imekuwa ngumuatapata chelsea sio wa mchezo mchezo
Mpk sasa hivi sidhaniMama mchungaji muda si mrefu ataibuka hapa
Ni lindege furani hivi linapenda kujenga viotaa kwenye Kona au kenchi za nyumba..
Lioga balaaa likiona panzi linakimbia..
naam hilo la msingi kabisaNdio mtafutane muonane
Kama vile anapiga mbiziIla tuna raha nikianzaga kumbemba lee acha tu
eh kaka kumekucha
We subiri tuMpk sasa hivi sidhani
Binamu huyo si shemeji yangu jamaan