Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Ndio mana mm siwezi kunywa lee hayupo
Search, sifa za mwanamke mneneNipe link babaaaa![]()
hapana aisee binamu selfie siwezi imenishinda mmSi unakunywa tu afu kama vipi unapiga selfie
Sorry maandishi ya juu sijaandika mimi
Ukienda zanzibar, mtwara, bagamoyo, mombasa, tanga..Ni kweli, ukienda Zanzibar mji mkongwe, ukiona structure tu, utajua kweli vya zamani nivya zamani tu
YuyuyuyuSi unakunywa tu afu kama vipi unapiga selfie
Sorry maandishi ya juu sijaandika mimi
Hamu ya kufanya ujingaHamu ya nini? ( Kwa sauti ya Ngoswe)
Ulishajaribu selfie?hapana aisee binamu selfie siwezi imenishinda mm
Ila yanasumbua sana, zinahitaji uwe na details za kutosha, mwanzo mwisho, maswali nayo ni mengi sana kiasi mpaka kichwa kinawaka motoUkienda zanzibar, mtwara, bagamoyo, mombasa, tanga..
Hata kuna baadhi ya makanisa walijenga wamissionary...
You will find fascinating design...
-Functional design...
-Costless design
-aesthetic design
Tusipate wasiwasi maana Noah nyeusi ni nyingi
IbadaniNdio kwenye Ile ahadi yako ni nini![]()
![]()
![]()
Nyagei jaman mbona umechelewa sna leoTusipate wasiwasi maana Noah nyeusi ni nyingi
hiyo kitu mm siwezi jamaanUlishajaribu selfie?
Kwenye apartment tuI see,kwani nyumba zipo karibu hivyo,na kitaalamu najua kuwa vyoo na mabafu huwa yanajengwa kelele za ndani si rahisi kutoka,hii kiafya sio sawa maana hata usiku vyoo hutumika sasa msipoflash inakuaje?
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Sinakumbe una tabia mbaya!!!
Hahahahaaaa! Nimecheka hadi watu wamenishangaa...Nyagei jaman mbona umechelewa sna leo



Huna usingiziYaan leo naona dalili za kukesha
Wenzetu wa visiwani hao..Aisee kabila gani hilo mbona wazuri hivyo
Niaje BossHahahahaaaa! Nimecheka hadi watu wamenishangaa...
Wewe unasema Nyagei yuko kwenye maombi eti ameokoka...
Wakati nimemkuta kwnye uzi wako huo wa le wanenezi![]()