Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
hahaha..h ila usiniongezee mshahara sawagood le bodyguard from iringa
hahaha..h ila usiniongezee mshahara sawagood le bodyguard from iringa
shem wange asante kwa uf ubarikiwe![]()
Kwa udhamini mnono wa Archduke UF imefikia tamati kwa leo.
Tukutane kwenye ratiba za michezo
WozaaaaaHilo jina liache siku hizi sina harakati
Ni kaka mchungaji kwa sasa
Nivungie basi..wacha
nipo hapa nawaangalia wasituangushe wawafunge tu hawa chura churaniTanzania VPL
![]()
Shunie twende tukawaangalie Mbao Fc
Aisee kabila gani hilo mbona wazuri hivyoHahaaaaa
1st unatakiwa umnunulie
Kitanda+Godoro
Kabati
Vyombo
Mkiachana anasepa navyo na ni lazima ununue kabla ya mahali..
Ameen mama mchuchuSIKU ZA MWISHO,WANAWAKE TUMEUMBWA NA HAYA ,KUFANYA MAMBO HAYA LAZIMA SHETANI AHUSIKE,INASIKITISHA SANA WALA SIO JAMBO LA KUCHEKA,TUMUOMBE MUNGU AOKOE KIZAZI HIKI
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
ndio hao wanafunzi walichomfanyia mlinzi waoHaya mambo niyyakimatamanio zaidi, unakuta wanawake wako labda tisa, unaitwa ndani unaenda, ukiingia tu mlango unafungwa na unapelekwa chumbani, ukifika tu wote wanakuja na kukuambbia uwatimizie haja zao tena kwa lazima
MmhNjoo ujione mwenyewe..
Halafu kuachika nje nje..
Wengi huku mabikra coz hua
Wanatumia mlango wa kutokea kuliko wa kuingilia..
Kaka akee mzima za siku mbili tatuHumu ndani wazima
Kwa staili hiyo nitaendelea kuwa mchungaji tu niwachunge kondoo wa baba wasipotee





Pole sana mussolin hope mama mchuchu aliwakilisha vyemaJamani nipo bize kidogo. Mtu anaweza akanisaidia kuleta segment ya Leo katka Historia
Cc
BlessedHope
hivi huku dar unakuja liniNilikuwa ndani ya nchi yetu ila nilikuwa bize sana na ilikuwa gafla ndo maana nilishindwa hata kuaga
tunakuombea mama mchuchu uwezeNatamani ila nilikuomba unielekeze naona hujapata nafasi ,nikihitimu,nitamudu
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Amina baba mchuchuBwana Yesu asifiwe watu wa Mungu.
Baba mchuchu kwenye ubora wakoTiba yake ni Kristo Yesu![]()
Inasikitisha sanaKuna habari mbaya huko Karatu
Breaking News: - AJALI Karatu: Coaster yaua wanafunzi na walimu(karibu wote)
mtu anaebakwa anapata wapi hiyo fursa??hao mabinti walichomfanyia huyo mlinzi n unyanyasaji wa jinsia wamemlazimisha awanyonye kila mmoja huku wanachukua video
Kwangu mapenzi matamu sana kuliko mirinda nyeusi