shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ila shemela nimekuvulia kofiamahaba rahaa
Ila shemela nimekuvulia kofiamahaba rahaa
Si kweli aliyekupa mwambie akupe vizuri
kwa nn shemelaIla shemela nimekuvulia kofia
Hivi hizi nyumba si huwa hawapendi kufanya Re-designNipo na project moja hivi ya nyumba za kale zilizo kwenye urithi wa Dunia, zipo chini ya UNESCO
Kule mtaa wa pili vitu ulivyoshusha, uwe unaweka hapa linkkwa nn shemela









Ngoja nikupigie...ila usizime simu yakoSi kweli aliyekupa mwambie akupe vizuri
hahahah shemela sitaki ujueKule mtaa wa pili vitu ulivyoshusha, uwe unaweka hapa link
link wawekee wwMh toka lini na mda mfupi uliongea mambo ya kunywa pombe
sitakii jamaan sipokeiNgoja nikupigie...ila usizime simu yako
hairuhusiwi kwa mlokoleKunywa kwa afya inaruhisiwa bhana...ilimradi tuu usilewe
Kama nakuona unatoa betri...sitakii jamaan sipokei


Hawapendi kabisa, wanapenda zibaki na structure yake Ile ileHivi hizi nyumba si huwa hawapendi kufanya Re-design
Huwa nasikia zinafanyiwa maintainace tuu..kama repainting vile
Nipe limk mkuuKule mtaa wa pili vitu ulivyoshusha, uwe unaweka hapa link
Haaaaahaaaahahahah shemela sitaki ujuelink wawekee ww
nawe pia ulale unono nenda kafungiweGuys usiku mwema