Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
we mwache tu huyo shimbayaan furaha yako shedede afukuzwe kazi tu
we mwache tu huyo shimbayaan furaha yako shedede afukuzwe kazi tu
nitaacha kwa heshima yako bossacha hizo story shedede pls

marupurupu yapi???Akikutibua fukuza kazi. "Marupurupu" anayokupa waweza kuyapata kwingine♂️
♂️
♂️
hahahaha...h sizani kama anamuombea hapo kama si kumsukumia mbaliTuwaombee hata maadui na washindani wetu!![]()
Usiulize maulizo yaulizwayo basi. Unataka tumwage kuku kwenye mtama mchache?marupurupu yapi???
MhShida ni "marupurupu" anayopata mama!
ndio mana nakupendanitaacha kwa heshima yako boss
pardon me![]()
![]()
![]()
![]()
That's the point...hahahaha...h sizani kama anamuombea hapo kama si kumsukumia mbali
Kazi zingine unaziomba halafu ukiipata unakuta ni kinyume kabisa na ulivyotegemea. Inabidi tu uifanye kwa sababu hakuna namna. Shedede kazi ya ulinzi ipo kama ulivyotegemea itakuwa hasa yule bosi mwenye wivu akiwepo?![]()


msukuma wwNeno "marupurupu" limo katika alama za kufungua na kufunga semi...Mh
Mwenyewe ameridhika nayo wala hataki zaidi
sawaNeno "marupurupu" limo katika alama za kufungua na kufunga semi...
Nipo mama. Nahangaika na kilimo cha umwagiliaji hapa Koromije. Kumbuka nilishawapa ofa ya kuwachinjia ndama mnono au ligulyati (dume) la mbuzi siku mtakapokuja kutalii huku. Ofa yangu bado iko pale pale. Na itafurahisha zaidi mkija bila mlinzi!msukuma ww
Nipo mama. Nahangaika na kilimo cha umwagiliaji hapa Koromije. Kumbuka nilishawapa ofa ya kuwachinjia ndama mnono au ligulyati (dume) la mbuzi siku mtakapokuja kutalii huku. Ofa yangu bado iko pale pale. Na itafurahisha zaidi mkija bila mlinzi!

lee atakua ananilinda mm ndio vizuriSawa. Sitaki mje na Shedede na marungu na sime zake. Mtawatisha wanakijiji. Kama ni nyama nitawakaushia niwafungashie kama beef jerky niwape mmpelekee.lee atakua ananilinda mm ndio vizuri
hahahhh shedede ukuje usikieSawa. Sitaki mje na Shedede na marungu na sime zake. Mtawatisha wanakijiji. Kama ni nyama nitawakaushia niwafungashie kama beef jerky niwape mmpelekee.
PoaHa hahhahaha, nashukuru mdau, ngoja nimpandishe mdada makini leo.
Gitaa hupendezesha muziki
Naimani tumeshinda salama wadau, tukiendelea na mapumziko ya wiki ya kutumia baada ya kuwa tumepokea haki yetu.
Leo tumwangalie mwanadada maarufu kwa jina la Tracy Chapman, mara ya kwanza nasikia nyimbo zake ni baada ya kuwa nimemsikia Karola Kinasha na nilijikuta navutiwa na nyimbo zake na zaidi upigaji wake wa gitaa, na kama unavyojua kijisegment hiki ni kwa ajili ya wacharaza gitaa tu.
Ni maarufu kwa nyimbo za kisiasa na kuelezea masuala ya kijamii na kutokana na kazi yake ameshinda tuzo 4 za Grammy na tuzo nyingine nyingi ndani na nje ya USA.
Keshafanya kazi na mashirika ya kimataifa ya kupigania haki za binadamu, Mwaka 1988 katika kuadhimisha miaka 40 ya Tamko la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu (UDHR) alitumbuiza jijini London chini ya Amnesty International, na mwaka huo huo alitumbuiza katika kukumbukumbu ya kuzaliwa Nelson Mandela.
Nyimbo zake maarufu ni pamoja na ninaoupenda zaidi, 'talking about revolution', Fast Car, For My lover, Matters of the heart, let it rain na ambao nitaupandisha leo 'give me one reason'. Wimbo wa Fast Car ningependa uutafute na usikize gitaa linavyodonolewa kufuatisha maneno yenye kusisismua bongo.
Tracy keshatumbuiza na wapiga gitaa maarfufu duniani akiwemo BB King, Buddy Guy, Eric Clapton na pia kina Ziggy Marley pia na muitaliano Luciano Pavarroti.
...ana msemo wake ninaoupenda ' kama kuna watu wanadhani una nafasi ya kutoa mchango wako, basi toa, ni kitu kizuri kufanya.
Mwangalie hapa katika clip ya YouTube akicharaza gitaa na gwiji Eric Clapton.
Hadi wakati mwingine, twe na usiku mwema
Alikuwa haelewi kabisa![]()
![]()
![]()
Ulikuwa unaelewa unachotaka au ulitengeneza nini kichwani?