Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
toxic9,sakayo,shululu muje kwenye kikao huku
Mungu yu mwemaWee acha tuu...
Baada ya kuelewa kibakwa ni nini...sikuwahi kuwaza tena hivyo..
acha uchochezitoxic9,sakayo,shululu muje kwenye kikao huku
Kweli,asante...well, niko kwenye mchakato wa kupata simu ya camera, mjombaangu lee empire ataniletea nitaipiga picha uione. Au kama vipi naweza kukupatia kabisa kama zawadi (kupenda si jambo dogo-ni kujitoa sadaka)
Muangalie basi. Mtakuja kucheza hata pono za maneno hapa muwasumbue walinzi akina Shedede![]()

Akikutibua fukuza kazi. "Marupurupu" anayokupa waweza kuyapata kwingineacha uchochezi
♂️
♂️
♂️Yes,inafariji sanaImagine ndiyo wanajiandaa kukufanyia operesheni kubwa halafu ukawaona wanafanya hivi. Farijiko la ajabu!![]()

mama mchuchu napenda habari ya saa ya binamu yangu sipati picha siku iibiwe au ipotea atatulilia mwezi mzima
Imagine ndiyo wanajiandaa kukufanyia operesheni kubwa halafu ukawaona wanafanya hivi. Farijiko la ajabu!![]()

Mmmh ,anavyoielezea lazima iwe ni nzuri sanamama mchuchu napenda habari ya saa ya binamu yangu sipati picha siku iibiwe au ipotea atatulilia mwezi mzima
Akikutibua fukuza kazi. "Marupurupu" anayokupa waweza kuyapata kwingine♂️
♂️
♂️



yaan furaha yako shedede afukuzwe kazi tu
noo sichochei tunayajenga tuacha uchochezi
acha hizo story shedede plsnoo sichochei tunayajenga tu
hahahhhhMmmh ,anavyoielezea lazima iwe ni nzuri sana
hii mbona nikawaida wanafanya hivo wakijua kuwa mungu ndio creature wakila kitu *hapo ndo ujue kuwa ukomo wa akili zao umeushia hapo kwaiyo wanamwachia mungu afanye miujiza yake**Imagine ndiyo wanajiandaa kukufanyia operesheni kubwa halafu ukawaona wanafanya hivi. Farijiko la ajabu!![]()
Shida ni "marupurupu" anayopata mama!yaan furaha yako shedede afukuzwe kazi tu
mmmmhAkikutibua fukuza kazi. "Marupurupu" anayokupa waweza kuyapata kwingine♂️
♂️
♂️
Hahahaa...Muangalie basi. Mtakuja kucheza hata pono za maneno hapa muwasumbue walinzi akina Shedede![]()