Raha ya maombi, unaweza ukaomba upate kitu X,
Lakini Mungu anakupa kitu kikubwa zaidi yaani Kitu L ambacho hukukitegemea,ndo kilichotokea uliombea tufungwe walau hata goli 1,ila tumeshinda 2
Raha ya maombi, unaweza ukaomba upate kitu X,
Lakini Mungu anakupa kitu kikubwa zaidi yaani Kitu L ambacho hukukitegemea,ndo kilichotokea uliombea tufungwe walau hata goli 1,ila tumeshinda 2
wacha tucheke my dear maisha yenyewe mafupi,hapa nalia watoto waliofariki yupo mtoto binamu yangu alimsimamia ubatizo.ni mtoto namfahamu vizuri .watoto wamezimika kama mishumaa kwenye upepo...wapumzike kwa amani