Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiii nimecheka kwa sauti mama angu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wacha tucheke my dear maisha yenyewe mafupi,hapa nalia watoto waliofariki yupo mtoto binamu yangu alimsimamia ubatizo.ni mtoto namfahamu vizuri .watoto wamezimika kama mishumaa kwenye upepo...wapumzike kwa amani[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wacha tucheke my dear maisha yenyewe mafupi,hapa nalia watoto waliofariki yupo mtoto binamu yangu alimsimamia ubatizo.ni mtoto namfahamu vizuri .watoto wamezimika kama mishumaa kwenye upepo...wapumzike kwa amani[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Jamaan polen sana mama mchuchu Mungu awapumzishe mahali peponi ameen [emoji120]

ila haujakosea mama mchuchu lee ananiweza kweli nakua mpole nimemmiss jamaan lee wangu
 
Back
Top Bottom