Makapuku Forum

Makapuku Forum

wacha tucheke my dear maisha yenyewe mafupi,hapa nalia watoto waliofariki yupo mtoto binamu yangu alimsimamia ubatizo.ni mtoto namfahamu vizuri .watoto wamezimika kama mishumaa kwenye upepo...wapumzike kwa amani
Jamaan polen sana mama mchuchu Mungu awapumzishe mahali peponi ameen

ila haujakosea mama mchuchu lee ananiweza kweli nakua mpole nimemmiss jamaan lee wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom