Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
Aisee, ban ya jf au jamaa yakehahahh queen naona kashapewa life ban alirudi kipindi flan kafanya fujo sana akapotea ghafla kama kawaida yake
Usifanye mchezo, zingekuwa zinakula chips hapo sawa, lakini chakula maalumu hapo ndio kwenye tatizosi kwa hamu hizompk kutoa kisu
Nipourudi unaenda wapi
hahaha jamaa yakeAisee, ban ya jf au jamaa yake
mkuu tueshimiane naeshimu kazi yangu ....ohoooLeo umejidamka mapema. Kulikoni? Umeingia lindoni mapema au? Au umekatazwa kuondoka? Aliyesema paka akiondoka panya hutawala hakukosea![]()
Usifanye mchezo, zingekuwa zinakula chips hapo sawa, lakini chakula maalumu hapo ndio kwenye tatizo




mbona wengine sisi tunavumiliaPole yakehahaha jamaa yake
Thubutumbona wengine sisi tunavumilia
hahaha hutaki sasa kuaminiThubutu
Nitaweza soon katika yeye anitiaye nguvutunakuombea mama mchuchu uweze

Shetani kazinimtu anaebakwa anapata wapi hiyo fursa??
Hii dhambi itawatafuna milele wasipotubundio wamembaka mlinzi wao
swadaktaShetani kazini
Tunamuombea sana huko aliko awe salama na arudi akiwa na afya njema,nakila analofanya liwe la mafanikio,nimemiss Lee pia jamani Mungu amtunzebado shemela labda tutegemee jioni hii au kesho nimemmiss kwakweli

AmeeenNitaweza soon katika yeye anitiaye nguvu![]()
Funga kwa maombi mkuu,kufuli lake haliwi na funguo sparesiwezi kuwa na amani naivi umewatambishia kuwa wewe ni kibonge mlaini ndo watajazana pm funga iyo pm na makufuli aina ya wohu au solex mijianaume ya dar itabubujika huko kama buji buji na mimi naongeza majeshi
cc:shululu
:toxic9
Ameen mama mchuchuTunamuombea sana huko aliko awe salama na arudi akiwa na afya njema,nakila analofanya liwe la mafanikio,nimemiss Lee pia jamani Mungu amtunze![]()
namuombea Mungu amlinde na arudi salama