Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Shida alilishwa sumu ya kuwa asiondoke Roma ili aje apewe ukepteni mara baada ya kustaafu kwa El Capitano de la Roma, Fransisco Totti. Sasa Totti anastaafu mwisho wa msimu huu lakini De Rossi umri ushaanza kumtupa mkono now ana miaka 33.Alitegemewa sana kufanya miujiza kwenye soka, lakini alishindwa
Nafikiri hata akiwa MadridWakati yupo arsenal hakuvaa no hiyo
Kaza mwendo ili twende na wakatihahaha aki nimeshangaa mama angu
kipindi yupo man city alitaka kupigana na kocha wake mazoeziniKama vip
Ukijifanya una mapepo sisi tunakemeahahaha aki nimeshangaa mama angu
Masikini,Mungu amsaidie aepuke,nilifuatilia sana mahojiano yake mstaarabu fulani hivikama alishindwa hata kujenga kipindi cha muziki hajengi tena
sio hivyo hata tetesi za kutumia ngada zinasikika
Kipindi man wanataka kumchukua alitakiwa kukubali kwa 100%,alipoanza kuifikiria Roma tu akachemshaShida alilishwa sumu ya kuwa asiondoke Roma ili aje apewe ukepteni mara baada ya kustaafu kwa El Capitano de la Roma, Fransisco Totti. Sasa Totti anastaafu mwisho wa msimu huu lakini De Rossi umri ushaanza kumtupa mkono now ana miaka 33.
nampenda sana ila style yake ya nywele ndio zaidiHuyu jamaa tatizo lake utulivu tu ni ziro, angetulia angekuwa mfungaji mmoja mzuri sana
Aisee4/Millie & Christine Mc Coy
Walizaliwa huko North Carolina 1851 wazazi wao wakiwa ni watumwa
Waliuzwa wangali wakiwa wadogo ili watumike kuburudisha kwenye matamasha mbalimbali
Wakiwa kwenye shoo walitekwa na kupekekwa huko Uingereza pia kwenye matamasha ya kucheza na kuimba
Walifariki wakiwa na miaka 61
..........
1/Giaconno & Giovanni Battista
Hawa walizaliwa mwaka 1877
Kuungana kwao kulisababisha washindwe kutembea na kutumia kiti cha magurudumu maisha yao yote
Walifanya ziara mbalimbali kwa kipindi cha miaka 20
Walifanikiwa kuoa wanawake tofauti
Mwisho
Tukutane J3
............
Unaona ee namba zinaleta uhasamaMichael Ballack - Namba 13
Ballack alikuwa anamhusudu sana mshambuliaji wa zamani wa Ujerumani, Rudi Voller ambaye alikuwa anava jezi namba 13. Hivyo Ballack aliposajiliwa na Bayer Leverkusen, alimkuta Rudi Voller ndio mkurugenzi wa Michezo wa klabu hiyo, Ballack akashauriwa kuvaa namba 13. Kumbe alichagua namba ya mkosi bila kujijua.
Bayern Munich
Ujerumani
Bayer Levekusen
Chelsea
Aliposajiliwa Chelsea alikuta namba 13 inavaliwa na William Gallas, yeye akaomba namba 13 kama sehemu ya mkataba wake inavyosema.
Hivyo Gallas akanyang'anywa namba 13 ili apewe Ballack, kitendo hiko kilimchukiza Gallas akaomba kuhama na kutua Arsenal.
wana vyakula vizuri hapoMechi hiyo nilikuwa arusha, city Park
Namba katika ulimwengu wa roho zinainua au kukukandamiza tujifunzeKweli ina mkosi mkubwa
Karibu kila Fainali aliyoweka mguu na mjezi wake timu ziliambulia vipigo tu...
........
Mungu azidi kuwakuza3/Krista & Tatiana Hogan
Walizaliwa huko Vancouver Canada 2006
Ni mapacha walioungana kichwani
Ni maarufu katika vipindi vya TV huko Canada
Bado wanadunda tu
.......
Sitaki kabisa kukumbuka tulichekwa sanaDah we acha tu, siku ile ndio ilikuwa siku ya mwisho kuvaa jezi na scarf ya timu kwenda kucheki mechi.
Tunasubiria hizo burudaniKweli,alimtaja na kuhusu projects alisema,tuwaombee mafanikio ili tupate burudani
pande hizi n poa kabisaNzuri kabisa shemela, vp pande hizo
Asante sana sana Mussolin5 ubarikiwe nimepata jambo kubwa sana na nimekumbuka mengiKwa leo sina la ziada, tukutane next time!
Guardiola, Role model wa Fabregas.
Rudi Voller, Role model wa Ballack
Aisee2/Ladan & Laleh BijaniHawa walizaliwa Iran mwaka 1979 wakati wa mapinduzi hali iliyopelekea kuwa chini ya matunzo ya daktari hadi miaka michache baadaye
Walikuwa wakitofautiana kwa mambo mengi mfano mmoja alitaka kuwa Wakili huku mwingine alitaka kuwa mwandishi wa habari hali iliyopelekea watamani kutenganishwa japo walielezwa Ni hatari
Wakati wa operesheni ya kuwatenganisha walikuwepo madaktari bingwa wa upasuaji 28 pamoja na wahudumu 100
Baada ya kutenganishwa wakafariki masaa machache baadaye
.......