Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
ahhahhaahUbarikiwe kila wakati, mbona me ni rahisi tu kunielewa
ahhahhaah
hahahaha et binamu ushaanza eleweka me mzima sna binamu yangu hofu kwako tu...kama nakuona vile, kichwa umekizungusha kulia kwenda kushoto.
Ndo nishaanza kueleweka auntie. Mzima lakini?
Kiduku style aiseeAsamoah Gyan - Namba 3
Staa huyu wa Ghana amekuwa akivaa namba 3 akiamini kuwa ndio namba yake ya bahati.
Ghana
Al Ahli
Alipokuwa Sunderland alikuta Jezi namba 3 ina mtu, akaamua kui-double namba 3 na kuwa 33.
DuhAntoine Griezmann - Namba 7
Amekuwa akipenda kuvaa jezi namba 7 kwaheshima ya David Beckham ambaye anamtaja kama ndio " Role Model " wake wakati anakua. Pia anapenda kuvaa jezi za mikono mirefu kama ambavyo David Beckham alikuwa akifanya enzi zake akicheza mpira.
hapa akiwa Real Sociedad
Hapa akiwa Atletico Madrid
Timu ya taifa ya Ufaransa
Bila shaka nilikua natamani nimuelewe,nikawa namwomba Mungu anisaidie...unajua kila mara tunapaswa kumuomba Mungu KUELEWA KULIKO KUELEWEKA,NASHUKURU MUNGU KASIKIA MAOMBI YANGUmama mchuchu leo umemuelewa binamu yangu
Hili jamaa lilisifika pia kwa utukutuNicolas Anelka - Namba 39
Straika wa zamani wa Chelsea, Man City, Fernabache, Bolton amekuwa akipenda kuvaa jezi namba 39 ikiwa ni namba yake ya bahati anayoipenda.
Chelsea
Man City
West Bromwich Albion
Ufaransa
Bolton Wonderers
Fenerbahce