ha ahhahaha, sasa ulitaka akae asikize maombi yetu, si angechanganyikiwa bure au kuumwa kichwa. Fikira wengine tunaomba tukiwa tingasi, wengine wanawaza kodi ya pango, wengine mshahara haujatoka, nway bora kajiagia mapema Mondray
Leo pia ni siku nyingine ya kushuhudia soka safi la ulaya.
Jana Shululu aliniuliza karata yangu iko upande gani kwa bahati mbaya nilichelea kujibu jibu ni (Bernabeu)
Leo nawapa heko Monaco pia na kule Europa nampa Ajax.