Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante mkuu Nyagei ila huyo mtoto namuombea
Habari kamili

Two-year-old who smoked 40 cigarettes a day, clocks nine, kicks habit

punchng.com

May 1, 2017 7:56 PM

Ardi Rizal, as a two-year-old smoker. Photos: SUN

Do you remember the two-year-old tot who shocked the world with his 40 cigarettes a day smoking habit?

Indonesian boy Ardi Rizal, caused concern and outrage when he was seen puffing away while riding his bike seven years ago. Now nine, the young boy has kicked the habit and turned his life around.

But it hasn’t been an easy journey for the little boy who developed a food addiction after giving up cigarettes when he was five.

That caused him to pile on weight, but over the last few years, he has managed to lose the extra pounds.

Nine-year-old Ardi, holding his photograph taken when he was a two-year-old smoker

The boy, from a remote village in Sumatra, became the focus of international concern when the photos of him smoking were first revealed.

With government intervention and intensive specialist care, Ardi’s parents were able to wean him off cigarettes, only to have his addiction replaced with food.

Speaking four years ago, his mum said: “At first when we were weaning Ardi off the cigarettes, he would have terrible tantrums. But he doesn’t want them now.”

Weighing 22kg by age five, Ardi made headlines again for being almost six kilogrammes above the ideal weight for a child of his age.

This led to an investigation into his parents and his community by Indonesia’s Woman’s Empowerment and Child Protection Ministry.

Ardi’s parents revealed that the smoking addiction started when Ardi’s father gave him his first cigarette when he was only 18 months old.

By diverting his addiction from cigarettes to food, Ardi’s love for junk food developed so quickly his parents had to seek the help of a nutritionist to fight the new focus of his compulsion.

Now, with the help of Indonesia’s government and a nutritionist, Ardi has re-emerged as an addiction-free nine-year-old.

The nine-year-old, who consumed three cans of condensed milk a day, was restricted to a diet consisting of fresh fish, fruit and vegetables to help him lose weight.

Now much healthier, Ardi has managed to keep his compulsions at bay by focusing on excelling at school.
 
NUKUU YA LEO

Football is a simple game. Twenty-two men chase a ball for 90 minutes and at the end, the Germans always win.

Soka ni mchezo rahisi. Wanaume ishirini na mbili wanakimbiza mpira kwa dakika tisini na mwisho wajerumani watashinda daima.

c9f465529c000b2e49ba7cc93a43aba2.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na Mwanasoka na mchambuzi wa soka wa kiingereza Gary Wiston Lineker aliezaliwa mjini Leiceter Uingereza . G.W. lineker alizaliwa 30/11/1960.

Gary Lineker amecheza jumla ya michezo 567 na kufunga magoli 330.

Gary amechezea klabu za mpira 5, Leiceter city, Everton, Barcelona, Tottenham na Nagoya Grampus Eight na Timu ya Taifa ya England.


Garry alisema maneno hayo mwaka 1990 walipotolewa sem-final kwa penalti na ujerumani magharibi baada ya kumalizika dakik 90 wakiwa 1-1.

Garry ndio mchezaje wa kiingereza tuu ambaye amechukua kiatu cha dhahabu kombe la dunia( alikuchukua golden boot Fainali za mwaka 1986).

Lakini vile vile ndio mcheza wa kiingereza alieweza kuchukua kiatu cha mfungaji bora kwa timu 3 tofauti za Uingereza..yaani leiceter city, everton na Tottenham Hotspurs

Gary hakuwa kupewa kadi hata moja ya njano wala nyekundu katika maisha yake ya soka.. na kupitia hilo mwaka 1990 FIFA walimzawadia tuzo ya FFPA yaani Fifa Fair Play Award.

Ni mshabuliaji wa kihistoria katka taifa la uingereza na atabaki kuwa moja wa washambuliaji wazuri wa kiingereza.
50d42be5bed29921844e7e62c1dbcd37.jpg
d5c62e673d0b079471392ae08c21b3a2.jpg



Habari za jioni.
 
WAFILIPI 4

4 Furahini katika BWANA tena nasema furahini.

5 Upole wenu na ujulikane na watu wote.

6 Msijisumbue kwa neno lolote, bali katika kila neno kwa KUSALI na KUOMBA na KUSHUKURU,HAJA ZENU na zijulikane na MUNGU

7 Na AMANI ya MUNGU ,ipitayo AKILI ZOTE ,ITAWAHIFADHI MIOYO YENU NA NIA ZENU katika KRISTO YESU

MUNGU AWABARIKI MLALE SALAMA
Amen mama mchungaji

Ubarikiwe
 
ZABURI 46

1 Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.

Mungu kwetu ndiyo kimbilio katika kila shida mkimbilie yeye atakupa msaada ambao hujawahi pata mahali popote.
simama imara katika imani yako.
Omba kwa bidii.
Jitie nguvu kuwa unaweza kumuomba Mungu lolote naye atakutia nguvu ambayo hujawahi kuipata maishani mwako.
Ni yeye alikuumba.

Anajua idadi ya siku zako hapa duniani.
Anajua mahitaji yako yote Anajua kuingia kwako na kutoka kwako.

Mkimbilie yeye.

Atakutia nguvu.

Atakupa msaada.

Mateso yatakoma.

TUOMBE:
Baba wa mbinguni asante kwa siku mpya ya leo,asante kwa kutuamsha salama tukiwa wazima na afya njema,karibu majumbani mwetu Baba,makazini mwetu,kwenye mashamba yetu,kwenye biashara zetu,kwenye ndoa zetu,kwenye uchumba,kwenye masomo,mawazoni mwetu,linda mifugo yetu Baba mwema.

Ponya wagonjwa Baba kwa namna ya pekee tunamkumbuka Mondray mkono wako ukamguse umponye awe mzima mwili na roho.

Farijiwafiwa,tunawaombea marehemu wote wapumzike kwa amani,waongoze wasafiri nchi kavu,majini na angani wafike salama,bariki vijana wetu wote kidato cha sita wanaoendelea na mitihani wakumbushe yote Baba mwema,wasaidie wenye mashaka na changamoto mbalimbali wakumbatie Baba waondoe mashaka wape nguvu mpya.

Tuimarishe tukupende,tukuheshimu,tukutegemee,tukutwishe fadhaa zetu ni wewe peke yako ambaye una jibu la maswali yetu yote.

Asante Baba kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako,tunaomba yote katika jina la Yesu Mpatanishi na mwokozi wetu Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA

MBARIKIWE SANA
 
ZABURI 46

1 Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.

Mungu kwetu ndiyo kimbilio katika kila shida mkimbilie yeye atakupa msaada ambao hujawahi pata mahali popote.
simama imara katika imani yako.
Omba kwa bidii.
Jitie nguvu kuwa unaweza kumuomba Mungu lolote naye atakutia nguvu ambayo hujawahi kuipata maishani mwako.
Ni yeye alikuumba.

Anajua idadi ya siku zako hapa duniani.
Anajua mahitaji yako yote Anajua kuingia kwako na kutoka kwako.

Mkimbilie yeye.

Atakutia nguvu.

Atakupa msaada.

Mateso yatakoma.

TUOMBE:
Baba wa mbinguni asante kwa siku mpya ya leo,asante kwa kutuamsha salama tukiwa wazima na afya njema,karibu majumbani mwetu Baba,makazini mwetu,kwenye mashamba yetu,kwenye biashara zetu,kwenye ndoa zetu,kwenye uchumba,kwenye masomo,mawazoni mwetu,linda mifugo yetu Baba mwema.

Ponya wagonjwa Baba kwa namna ya pekee tunamkumbuka Mondray mkono wako ukamguse umponye awe mzima mwili na roho.

Farijiwafiwa,tunawaombea marehemu wote wapumzike kwa amani,waongoze wasafiri nchi kavu,majini na angani wafike salama,bariki vijana wetu wote kidato cha sita wanaoendelea na mitihani wakumbushe yote Baba mwema,wasaidie wenye mashaka na changamoto mbalimbali wakumbatie Baba waondoe mashaka wape nguvu mpya.

Tuimarishe tukupende,tukuheshimu,tukutegemee,tukutwishe fadhaa zetu ni wewe peke yako ambaye una jibu la maswali yetu yote.

Asante Baba kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako,tunaomba yote katika jina la Yesu Mpatanishi na mwokozi wetu Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA

MBARIKIWE SANA
AMENAsante mama mchungaji kwa sala hope leo itakuwa ni siku njema kwangu

uwe na siku njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom