Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,932
Gosha wediNdioooo
Gosha wediNdioooo
Hazizidi za rayVoko zako tu!
Naona Leo ujanja uko mfukonTena huku amepiga magoti
Pole jooh...Wandugu nipo hoi jamani..
Naandika hivi ila nina hali mbaya ya afya
Seriously nipo nalia ajili ya vidonda tumbo vimeniamkia usiku huu..
Daaah naumia mwenzenu..
AhsanteeeJamani pole my switii... Jitahid kufata mashart ya dokta
Pole sana Mond.Jamani usiku mwema hali imenizidia naenda hospital now
Mniombee ndugu zangu maana hali sio nzuri..
Taarifa za maendeleo atawapa Nyagei..
Nawapendeni sana..
Nenda hospital, Kisha uje pmAhsante sana duuh
Nashindwa hata kuongea kwa sauti..
Kwa nini umwonee hurumashemela mama mchuchu kanifurahisha sna yaan mwenyewe anajua kumtaja mukongo ndio baba mchungaji wetu ila namuonea huruma binamu yangu obe tu
Ahsante but naumia sana brotherPole jooh...
Mungu akunyooshee mkono wake wa uponyaji.
Utapona tuu kaka
Valencia tenabas wameshaanza kuonyesha ngoja nimalizane na tamthilia nitarudi huko kwa madrid na valencia

Mpenzi nipo hoi jamani..Naona Leo ujanja uko mfukon
Ahsante dada anguPole sana Mondray,pole kwa kuumwa kumbuka Yesu aliwambwa pale msalabani kwa ajili yetu, Isaya 53:3,5kwakupigwa kwake sisi tumeponachukua hatua ya imani muombe Mungu akutie nguvu,chukua maji ya uvuguvugu kunywa taratibu kama first aid na uanze kwenda hospitali sasa,wao wana dawa za kupunguza maumivu haraka sana,kama maumivu ni makali watakuchoma sindano ya maumivu ya tumbo na upumzike wakati wanafanya vipimo vingine...Mungu akutie nguvu..kama una buscopan tablets na hospitali ni mbali kunywa ili usiteseke na maumivu.Nakuombea UPONYAJI KATIKA JINA LA YESU
![]()
Mi nabaki kuwa shahidi tuNashukuru kwa kuliona Hilo
Pole sana sanaJamani usiku mwema hali imenizidia naenda hospital now
Mniombee ndugu zangu maana hali sio nzuri..
Taarifa za maendeleo atawapa Nyagei..
Nawapendeni sana..
Pouwa kaka..Ahsante but naumia sana brother
Daaah
Hapana mkuu ndo ukweliUna manenoooooh!!!![]()
![]()
![]()
AmenPole sana Mondray,pole kwa kuumwa kumbuka Yesu aliwambwa pale msalabani kwa ajili yetu, Isaya 53:3,5kwakupigwa kwake sisi tumeponachukua hatua ya imani muombe Mungu akutie nguvu,chukua maji ya uvuguvugu kunywa taratibu kama first aid na uanze kwenda hospitali sasa,wao wana dawa za kupunguza maumivu haraka sana,kama maumivu ni makali watakuchoma sindano ya maumivu ya tumbo na upumzike wakati wanafanya vipimo vingine...Mungu akutie nguvu..kama una buscopan tablets na hospitali ni mbali kunywa ili usiteseke na maumivu.Nakuombea UPONYAJI KATIKA JINA LA YESU
![]()
Nilionao wamenipeleka pharmacy ndio tunaelekea..Pouwa kaka..
Ila hebu zima data kwanza..uwe offline ili upate matibabu kwanza..
Mungu akupe wepesiNilionao wamenipeleka pharmacy ndio tunaelekea..