shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Champion ligihivi si ndio laliga au mbona huku hawaonyeshi
Champion ligihivi si ndio laliga au mbona huku hawaonyeshi
hahhahah shemela mlalo missionWa mlalo au bumbuli?
tafuta maziwa ndio ufate masharti yakeAhsante sana kwa ushauri..
Ila nahisi nimeyakoroga mm maana mchana nimekula nazi..
Ahsante sana duuhPole sana
Mi nitarudi usijalihahahh atarudi na nguo alizovaa tu kama yule mnyakyusa aliyeenda kuuza nazi
bas wameshaanza kuonyesha ngoja nimalizane na tamthilia nitarudi huko kwa madrid na valenciaChampion ligi
Washafunga maduka saa hztafuta maziwa ndio ufate masharti yake
AmekusikiaMwambie kabisa asirudie tena kuniudhi
Ngoja leo tuone maufundi yaketeam ronaldo
DuuhTanga ni hataree...
Unaogeshwa hadi unanukia kama pilau..![]()
Shukrani mkuu1/The Deadliest Earthquake
Tetemeko hili lilitokea July 1201 huko Misri na Syria.liliua mamilioni na kusababisha uharibifu mkubwa kuwahi kutokea duniani![]()
Mwisho
.....
Voko zako tu!Wacheka nini wera?
Pole sana Mondray,pole kwa kuumwa kumbuka Yesu aliwambwa pale msalabani kwa ajili yetu, Isaya 53:3,5kwakupigwa kwake sisi tumeponaNipo na hali mbaya sana nasikia kama tumbo limetoboka au utumbo kukatika..
chukua hatua ya imani muombe Mungu akutie nguvu,chukua maji ya uvuguvugu kunywa taratibu kama first aid na uanze kwenda hospitali sasa,wao wana dawa za kupunguza maumivu haraka sana,kama maumivu ni makali watakuchoma sindano ya maumivu ya tumbo na upumzike wakati wanafanya vipimo vingine...Mungu akutie nguvu..kama una buscopan tablets na hospitali ni mbali kunywa ili usiteseke na maumivu.Nakuombea UPONYAJI KATIKA JINA LA YESU
SureAsante kwa Top Ten mkuu..
Mwisho:
Wenzetu wameweka mikakati mingi sana ya kuji-back up wakipatwa na haya matatizo
1. VIMBUNGA NA MATETEMEKO YA ARDHI
-Nyumba zinajegwa kwa mbao kuepuka maafa makubwa..
-Structurally, Timber zinatumika sana manake ni light material ukilinganisha na Zege/matofali au chuma.
- kuna vikundi na vifaa vya kutosha vya Kufanya Rescue
-Kumekuwepo na redisign Master plans za miji na kuepuka maeno yote Hatarishi kwa vimbunga na matetemeko ya Ardhi.
-Kumekuwepo na mamlaka na kuchunguza na kupridict kutokea kwa haya majanga na hivyo kutoa Tahadhari mapema.
2. NJAA ,UKAME NA MABADILIKO YA HALI YA HEWA
-WAmekuwa watu makini na uharibifu wa mazingira, hawa jamaa wanavyanda vingi kushinda sisi ila mazingira yao ni mazuri kutushinda sisi.
-Wameweka mifumo mizuri ya uzalishaji wa chakula na kucontrol population
Yaani uzalishaji unaendana sawa na ukuaji wa watu..
Mfano ni china na Japan
-Tumeona system nyingi za usindikaji wa vyakula na uzalishaji wa vyakula vya Muda mfupi.. km kuku, mchele n.k
3.AFYA / MAGONJWA
-Kumekuwa na Chajo kubwa sana kwa mataifa yaliondelea hasa Asia na Ulaya.
Magonjwa mengi sana yanatolewa chanjo.
-wanalishe nzuri na wako makini na afya zao.
-Wahadhiri na wanasayansi wamefanya reseach/ tafiti juu ya magonjwa na kuapatia ufumbuzi..
Huku Tz wanakimbilia bungeni![]()
![]()
![]()
-Wameweka Taratibu nzuri za afya pamoja na kuhakikisha wananchi wa kipato cha chini wanapata huduma za Afya bureeeee...
Nahisi kila mtu amepata kitu leo.
TRANSCEND.
Ukiona anamendea tena usisite kunambiaWaoooo
Tunakupenda Bwana Yesu anakupenda zaidi na utakuwa mzimaJamani usiku mwema hali imenizidia naenda hospital now
Mniombee ndugu zangu maana hali sio nzuri..
Taarifa za maendeleo atawapa Nyagei..
Nawapendeni sana..

Pole kaka...Jamani usiku mwema hali imenizidia naenda hospital now
Mniombee ndugu zangu maana hali sio nzuri..
Taarifa za maendeleo atawapa Nyagei..
Nawapendeni sana..
Jamani pole my switii... Jitahid kufata mashart ya doktaWandugu nipo hoi jamani..
Naandika hivi ila nina hali mbaya ya afya
Seriously nipo nalia ajili ya vidonda tumbo vimeniamkia usiku huu..
Daaah naumia mwenzenu..
Daa nimekumbuka bumbuli aiseeehahhahah shemela mlalo mission