1/
The Deadliest Earthquake
Tetemeko hili lilitokea July 1201 huko Misri na Syria.liliua mamilioni na kusababisha uharibifu mkubwa kuwahi kutokea duniani
Mwisho
.....
Asante kwa Top Ten mkuu..
Mwisho:
Wenzetu wameweka mikakati mingi sana ya kuji-back up wakipatwa na haya matatizo
1. VIMBUNGA NA MATETEMEKO YA ARDHI
-Nyumba zinajegwa kwa mbao kuepuka maafa makubwa..
-Structurally, Timber zinatumika sana manake ni light material ukilinganisha na Zege/matofali au chuma.
- kuna vikundi na vifaa vya kutosha vya Kufanya Rescue
-Kumekuwepo na redisign Master plans za miji na kuepuka maeno yote Hatarishi kwa vimbunga na matetemeko ya Ardhi.
-Kumekuwepo na mamlaka na kuchunguza na kupridict kutokea kwa haya majanga na hivyo kutoa Tahadhari mapema.
2. NJAA ,UKAME NA MABADILIKO YA HALI YA HEWA
-WAmekuwa watu makini na uharibifu wa mazingira, hawa jamaa wanavyanda vingi kushinda sisi ila mazingira yao ni mazuri kutushinda sisi.
-Wameweka mifumo mizuri ya uzalishaji wa chakula na kucontrol population
Yaani uzalishaji unaendana sawa na ukuaji wa watu..
Mfano ni china na Japan
-Tumeona system nyingi za usindikaji wa vyakula na uzalishaji wa vyakula vya Muda mfupi.. km kuku, mchele n.k
3.AFYA / MAGONJWA
-Kumekuwa na Chajo kubwa sana kwa mataifa yaliondelea hasa Asia na Ulaya.
Magonjwa mengi sana yanatolewa chanjo.
-wanalishe nzuri na wako makini na afya zao.
-Wahadhiri na wanasayansi wamefanya reseach/ tafiti juu ya magonjwa na kuapatia ufumbuzi..
Huku Tz wanakimbilia bungeni
-Wameweka Taratibu nzuri za afya pamoja na kuhakikisha wananchi wa kipato cha chini wanapata huduma za Afya bureeeee...
Nahisi kila mtu amepata kitu leo.
TRANSCEND.