shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Haaaaahaaaaakikujibu niite naona shemela shululu yy ndio mwenyekiti wa kikao si kwa majibu haya
Haaaaahaaaaakikujibu niite naona shemela shululu yy ndio mwenyekiti wa kikao si kwa majibu haya
Hahahaaa...sawa mkuuTunahamia zetu Dodoma sasa usitufuatilie..
(Pm).
KodoWoyoooooooo am happy to hear that mama mchuchu

Mna group wasapuNinajua tu mistar tu chache tu
Hapo ukiniambia niendelee siwez
Shukran kwa Pimbi kunianzishia darasa la ngere wasapu..
Wazee wa pata potea ...! Don't care fulani hivi..
Nimeona pale unaambiwa "mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake mwenyewe"
Ukajibu..."wacha ibomoke nitaijenga mbele kwa mbele"





Nenda aisee ujionee mji ulivyo mzuriMi huko nitaenda
Amna, impossible to Tanzania na naombea isiwepo maana watainajisi nchiWataagiza ?
naona anajua kujibebishaSasa hivi anatongoza kwa lugha ya malikia..
Alafu hivi hizi mambo zipo Africa tuu..?8/Chinese Famine
Hii njaa ilikuwa kiboko kiasi cha watu kuwindana![]()
Ilirokiea kati ya mwaka 1959 hadi 1961
Iliua takribani watu milioni 20
.......
Unakunywa chai huku unapetiwa petiwakaribu sana yaan hutojutia ushawahi ogeshwa kwenye kigoda na zaka kuwekwa kwenye kisosi na maji kuwekwa hiriki na mdalasini ni tanga tu pekee
Haaaaahaaaakaribu sana yaan hutojutia ushawahi ogeshwa kwenye kigoda na zaka kuwekwa kwenye kisosi na maji kuwekwa hiriki na mdalasini ni tanga tu pekee
Mungu yu MwemaHaya memsamehe![]()
mondray umeshasamehewa ukujeNdioMna group wasapu
Hivi wewe ni under 18?waburuze nn
mmmh vipisi vya sigara au yule oni sigara wa cloudsArdi Rizal
Kijana aliyeushtua ulimwengu kwa kuvuta sigara 40 kwa siku sasa ana miaka 9
Hapa akiwa na miaka miwili![]()
Hapa akituonesha picha yake ya utotoni akiwa na miaka miwili![]()
Jinsi alivyo sasa![]()
hahahhhh we ni mwehuHahahaa! Ila huku fire wenyewe wanachelewa,
Sasa ikiwa ni condom si ndio watakuja wakute ushapata ukimwi .![]()
Mh!!!.....nilikuwa nasoma Sanifu ndio maana hii habari sikuipata10/North Korea Famine and Floods![]()
![]()
Haya mafuriko yalitokea mwaka 1995 hadi 1998...yaani mafuriko yalisababisha njaa na mlipuko wa magonjwa
Majanga haya yalitokea kipindi ambacho viwanda nilikuwa vinadidomia
Watu milioni 3 walipoteza maisha achilia mbali mifugo na mali
......
Nenda usiogope MndaliHapo kwenye kuogeshwa ndo sipendi maji na viungo vyote hivyo mi nimekuwa mboga
haahahah nilijuatu ww mukongo utasema![]()
![]()
Bodyguard yupo mkoani, anaelindwa yupo Dasalamu
![]()