Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971



shemela shululu n mzinzi sana



shemela shululu n mzinzi sanaUpole kawaida yangu..Naona Leo umekuwa mpole kama diwani anaomba kura kwa wananchi
Naona umeanza kumsema shemeji yakoshemela shululu n mzinzi sana
Hahahaha Shunie unanipa raha sanahahhahah sawa mama mchuchu mm nimekuelewa sana pole yake binamu yangu obe

SikuzaliwaIlikuwa Hatari sana..
Bitoz ulikuwa na miaka mingapi kipindi hiki mkuu.![]()
![]()
![]()
akikujibu niite naona shemela shululu yy ndio mwenyekiti wa kikao si kwa majibu haya

Njaa isikie kwa jirani tuMungu wangu![]()
![]()
kuwindana na kula nyama zao..wachina wamenishinda tabia
![]()
![]()
sijamsema nimemuuliza mkongoNaona umeanza kumsema shemeji yako
Ngoja nifikiriemsamahe vale mtto wa mwanamke mwenzio
Hahahaaa!Nyie si ndio mmenifunza
Hadi kingereza now naandika..


Wanyambo ndio kazi yao kulana mpaka leo..Njaa isikie kwa jirani tu
......
Hahahaha Shunie unanipa raha sana![]()
![]()
![]()


nafurahi sana mama mchuchu ukiwa happy yaan namuonea huruma binamu yangu akirudi huku kulia kuhusu saa yake mpyaNgoja nikawachukueSasa hapo nikwambie wamerudi mchana saizi wako nyumbani ya jirani wanaangalia katun
msamehe bwanaNgoja nifikirie
Jitahidi ukanitongozee wale watoto wa kitusi kule mpakani mwa Tz na Burundi basiNyie si ndio mmenifunza
Hadi kingereza now naandika..

Kweli?Sikuzaliwa
......
Wala sijakusemesha mimiUmenisamehe my coconut?