Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
Sasa hapo nikwambie wamerudi mchana saizi wako nyumbani ya jirani wanaangalia katunWatoto wako kwa bibi yao
Hata mm sijui ninekuta anasema kanichuki..kwan mmegombana nn
Daah masikini pole yao sna8/Chinese Famine
Hii njaa ilikuwa kiboko kiasi cha watu kuwindana![]()
Ilirokiea kati ya mwaka 1959 hadi 1961
Iliua takribani watu milioni 20
.......
Umenisamehe my coconut?
hahhahah sawa mama mchuchu mm nimekuelewa sana pole yake binamu yangu obeKuna wachungaji viongozi na wasaidizi,na baba na mama wote ni baba au mama mchungaji jamani..Shunieleo umefurahiiiii
pole n mapito yatapita tuHata mm sijui ninekuta anasema kanichuki..
Ahsante nampenda sana Vale wangu...pole n mapito yatapita tu
Ilikuwa Hatari sana..9/African Drought
Huu ukame ulitokea barani Afrika kati ya mwaka 1981 hadi 1984![]()
Mito na maziwa yalikauka na hivyo mifugo na wanyamapori kufa kwa mamilioni
Watu milioni 1 na ushee walipoteza maisha
......_
Mungu wangu8/Chinese Famine
Hii njaa ilikuwa kiboko kiasi cha watu kuwindana![]()
Ilirokiea kati ya mwaka 1959 hadi 1961
Iliua takribani watu milioni 20
.......
kuwindana na kula nyama zao..wachina wamenishinda tabia

Naona Leo umekuwa mpole kama diwani anaomba kura kwa wananchiAhsante nampenda sana Vale wangu...
ushungu huo vepee nyuma ya keyboard
labourMm simo ohoo
Nakuona nakuonateh nakuonaaa

Baelezeetanga kuna raha shemela hujutii ukifika