shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
OKnisharudi mkuu, sikuwa active kama siku nne hivi humu

OKnisharudi mkuu, sikuwa active kama siku nne hivi humu

Katuni za kipanya, aliwahi kumwambia siku moja apunguze kidogo kichwa anapo............ ra


Mpenzi mm nipo huku....Ray mylove upo api?
Mwambie lee nimemhamukumekucha vizuri kaka akee
unajiskiaje kumuhamu mume wa mtu huko kwenu hamfundwiMwambie lee nimemhamu
Tusubiri Mkuu tusikate tamaa mapemaKwa tume ambayo sio huru ni kujidangganya tu ndugu yangu
Mkuu tuendelee kuelimishana mtaani kwetu mambo yatakuwa sawa tuwakati unaweza kufika na kisieleweke... wenyewe wanasema ccm mbele kwa mbele
Tuko poa habr ya pande hizoJaman hamjambo wapendwa wangu
Poa bado hamjaanza kuinukisha na trumphuku kwema mkuu!
Nakuona vRay mylove upo api?
Juzi umeniachia ugomvi humu leo sitaki kuwa shahidiMwambie lee nimemhamu
Haya, yetu machoTusubiri Mkuu tusikate tamaa mapema
Hawajifunzi maana lugha ngumu
Sawa mkuuHaya, yetu macho
Mbona unafumba macho