Makapuku Forum

Makapuku Forum

Waliwaleta kule Florida eti wawasaidie kutatua tatizo la panya wakazaliana haraka haraka panya walipoisha wakaanza kula nyoka wenyeji, ndege, samaki, sungura, squirrel na kila aina ya viumbe wenyewe hawachagui. Sasa wamegeuka na kusababisha environmental crisis ya hali ya juu. Leo hii ukikamata mmoja unalipwa mpaka dola 100 kulingana na ukubwa wake. Kwa wenye utaalamu wa kukamata nyoka waende huko wakapige mzigo...
I see hatari
 
1/The Titanoboa Snake
314175d77b75b71f2dc4ac8f6efeba6f.jpg
d4097f5ea4e12063a3db04a00d8ba4e1.jpg
12fc4dd8ae52f657a984de06388ef064.jpg
Inakadiriwa alitoweka duniani takribani miaka Milioni 50 iliyopita
Alikuwepo huko Colombia ndo kuna makumbusho ya mabaki yake
Alikuwa na urefu wa futi 42 na uzito karibia tani 1
Upana wake ni sawa na hips za mwanamke?

Ahsanteni kwa kuwa nami
Mwisho
.......
Hips za mwanamke mkuu zipo kila size


Asante sana kwa elimu hii,Mungu akubariki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom