Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
hahahha kweli shemelaHaaaaahaaaa
hahahha kweli shemelaHaaaaahaaaa
Unagawa kazi wakati umefukuzwa kazi na unae mgawia ndo amepewa hiyo kazi





Khaaaa shemela kwa mlo mmoja tu
mm sijafurahia ujue nakukubali sana upo makini sana na kazi yako tatizo dr Lee alivyokua hayupo ulikua hauonekanihiv shemlake naww unafurahia mimi kutumbuliwa???
tena sokoni kwao shemela wanawaweka kwenye beseni la bati na maji yao wazima ukichagua ndio wanamuua wanakupimiaChina kula nyoka ni kugusa tu
unaweza mwenyewe tutaongea nae akirudi si unajua zilikua hasira ndio mana mm nilikua mpoleaisee iyo kazi naiweza mimi peke yangu........ once ushaidi nnao hapa kiganjan kwangu
hahhahhaHaaaaahaaaa, Lee hataki hata kusikia
hizo sehemu ndio anazipenda mndaliMndali kwenye ubora wake
Lakini nasikia umepelekwa mkuranga shambani



eti kuchunga mbuzi lee bwanaAcha na wengine wajaribu. Ulikuwa umeanza kuringa kisa eti unamlinda Shunie - malkia wa JF!. Ulijichanganya tangu mwanzo ulipoanza kwa kumtongoza kwanza. Hata mimi ningekutimua tu kwa kweli kwa sababu hakuna namna!
kwaiyo umefurahi nilivyotumbuliwa
hahahhaNipo makini maana inaonekana mnataka kubadilisha gia angani
shemela ujue umemkimbiza mama mchuchuItakuwa
Mbona mnataka kunishitaki au Nipige kimyahizo sehemu ndio anazipenda mndali

Khaaa msukuma me ujue namkubali sana shedede nitaongea vizuri na lee ampe last chanceAcha na wengine wajaribu. Ulikuwa umeanza kuringa kisa eti unamlinda Shunie - malkia wa JF!. Ulijichanganya tangu mwanzo ulipoanza kwa kumtongoza kwanza. Hata mimi ningekutimua tu kwa kweli kwa sababu hakuna namna!
hahhahhaMbona mnataka kunishitaki au Nipige kimya![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaha...hio ndoa haiimariki tu mpaka iimarishwe kila siku??Aaah sikuwez mie huo ni muda wa kuimarisha ndoa na mama watoto.
Sawa mkuuhabar za kwenu ndugu zangu mko okey??