Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,931
Mkuu huwa mi bado sijaanza ila nimetembelea wafugaji na kujua baadhi ya vitu nikimaliza kufuatilia vyote nitaleta somo lililo kamilika

Mkuu huwa mi bado sijaanza ila nimetembelea wafugaji na kujua baadhi ya vitu nikimaliza kufuatilia vyote nitaleta somo lililo kamilika

hahahhhaMtu na bodyguard wake![]()
Hata mimi naonahizo sehemu ndio anazipenda mndali
Story yake huyo mtu natamani siku mtu amfungulie uzi aiseeJombi jambazi???
nishawahi shemela kwa mrombooNdiyo shemela, ulishawahi kula nyama arusha?
BandaniAnafugia wapi?
..........Sorry yupo ArushaMalkia wa jfAcha na wengine wajaribu. Ulikuwa umeanza kuringa kisa eti unamlinda Shunie - malkia wa JF!. Ulijichanganya tangu mwanzo ulipoanza kwa kumtongoza kwanza. Hata mimi ningekutimua tu kwa kweli kwa sababu hakuna namna!

Vijana wa Kolomije kwa kweli tumejaliwa kuongea. Humuoni Gwajima? Bashite je? Sema tu huwa hatuongei pumba![]()

Hapana yupo, sasa hivi ni saa ya ibaada, ngoja amalize utamuona tushemela ujue umemkimbiza mama mchuchu
Ipo hapa JFStory yake huyo mtu natamani siku mtu amfungulie uzi aisee
Hapo sasaHahahaha...hio ndoa haiimariki tu mpaka iimarishwe kila siku??
Sio kazi isipokuwa jina litakuwa kubwaJombi jambazi???
Weupe huwa wanawachanganya sana wasukumahahahhah musukuma una maneno
msukuma ujue ni mwehu lee akiona hivi anavurugwaMalkia wa jf![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hahhahah akija kujibu uniiteHapana yupo, sasa hivi ni saa ya ibaada, ngoja amalize utamuona tu
niliisoma watu walichangia kwa yule jambazi wa arusha lkn hawajafungua uzi wakeIpo hapa JF
Poa, nasubiri kwa hamuMkuu huwa mi bado sijaanza ila nimetembelea wafugaji na kujua baadhi ya vitu nikimaliza kufuatilia vyote nitaleta somo lililo kamilika