BlessedHope JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 7,988 Reaction score 32,649 May 1, 2017 #176,881 Bitoz said: 6/The Scrub Python Hawa ni jamii ya chatu wansopatikana Australia pekee Urefu wao huweza kufika hadi futi 28 ....... Click to expand... Shuuu!!
Bitoz said: 6/The Scrub Python Hawa ni jamii ya chatu wansopatikana Australia pekee Urefu wao huweza kufika hadi futi 28 ....... Click to expand... Shuuu!!
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2016 Posts 14,001 Reaction score 31,770 May 1, 2017 #176,882 Nyagei said: Plan D hiyo Click to expand... Poa mkuu ila naona ni mifugo unayo lipa ukijua kuhudumia
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 May 1, 2017 #176,883 Mondray said: Leo je wajua itakuwepo Click to expand... Haya
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 May 1, 2017 #176,884 Shunie said: teh teh unalinda abiria chunga mzigo wako Click to expand...
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 May 1, 2017 #176,885 3/The Reticulated Python Wanapatikana huko Asia Kusini Mashabiki Huwa na wastani wa futi 20 Mkubwa zaidi kurekodiwa ni mwenye futi 30 ........
3/The Reticulated Python Wanapatikana huko Asia Kusini Mashabiki Huwa na wastani wa futi 20 Mkubwa zaidi kurekodiwa ni mwenye futi 30 ........
BlessedHope JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 7,988 Reaction score 32,649 May 1, 2017 #176,886 Bitoz said: 7/The King Cobra Huwa na urefu wa futi 15.6 hadi 18.8 Wanapatikana kwa wingi India na Indonesia Mkubwa zaidi kuwahi kurekodiwa amehifadhiwa huko London kwenye Zoo akiwa na urefu wa futi 18.8 .. .... Click to expand... Huyu ndie anadonoa kichwani,wenyeji wanatembea na vyungu vya uji kichwani wapitapo porini,akidonoa tu anauawa na uji
Bitoz said: 7/The King Cobra Huwa na urefu wa futi 15.6 hadi 18.8 Wanapatikana kwa wingi India na Indonesia Mkubwa zaidi kuwahi kurekodiwa amehifadhiwa huko London kwenye Zoo akiwa na urefu wa futi 18.8 .. .... Click to expand... Huyu ndie anadonoa kichwani,wenyeji wanatembea na vyungu vya uji kichwani wapitapo porini,akidonoa tu anauawa na uji
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 May 1, 2017 #176,887 Shunie said: hahhha Click to expand... lee ni hendisamu sana
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2016 Posts 14,001 Reaction score 31,770 May 1, 2017 #176,888 Shunie said: nimeadimika kidogo kaka angu lkn tupo pamoja Click to expand... Poa dada karibu tuungane pamoja
Shunie said: nimeadimika kidogo kaka angu lkn tupo pamoja Click to expand... Poa dada karibu tuungane pamoja
BlessedHope JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 7,988 Reaction score 32,649 May 1, 2017 #176,889 Shunie said: lilikua pepo pole sna mama mchuchu Click to expand... Amen dear za siku upo nakumis
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 May 1, 2017 #176,890 BlessedHope said: Ndiyo hivyo Click to expand... Hongera kwa ushindi
Nyagei JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 13,201 Reaction score 44,601 May 1, 2017 #176,891 Mndali ndanyelakakomu said: Poa mkuu ila naona ni mifugo unayo lipa ukijua kuhudumia Click to expand... Wanalipa sana hao
Mndali ndanyelakakomu said: Poa mkuu ila naona ni mifugo unayo lipa ukijua kuhudumia Click to expand... Wanalipa sana hao
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 May 1, 2017 #176,892 BlessedHope said: Sanaaaa,ulijuaje,wakati huo BULGER Click to expand...
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 May 1, 2017 #176,893 Shunie said: mtto wa kiume anakuaje muoga hivyo anajaribu jaribu tu si aache kama hawezi hivi ukimpa captain morgan ata kuonja ataweza kweli Click to expand...
Shunie said: mtto wa kiume anakuaje muoga hivyo anajaribu jaribu tu si aache kama hawezi hivi ukimpa captain morgan ata kuonja ataweza kweli Click to expand...
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 May 1, 2017 #176,894 BlessedHope said: Huyu ndie anadonoa kichwani,wenyeji wanatembea na vyungu vya uji kichwani wapitapo porini,akidonoa tu anauawa na uji Click to expand... Sio huyu Kuna sina nyingi za Cobra Tz cobra wapo lakini sio "King Cobra" ni vya kiboyaboya tu ........
BlessedHope said: Huyu ndie anadonoa kichwani,wenyeji wanatembea na vyungu vya uji kichwani wapitapo porini,akidonoa tu anauawa na uji Click to expand... Sio huyu Kuna sina nyingi za Cobra Tz cobra wapo lakini sio "King Cobra" ni vya kiboyaboya tu ........
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 May 1, 2017 #176,895 BlessedHope said: Unaweza muokota aisee Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 May 1, 2017 #176,896 werrason said: lee ni hendisamu sana Click to expand... hapana bana ni handsome kwangu tu mm ana sura ya kiume
werrason said: lee ni hendisamu sana Click to expand... hapana bana ni handsome kwangu tu mm ana sura ya kiume
Shadrack K. Lwila JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 4,925 Reaction score 14,297 May 1, 2017 #176,897 habar za kwenu ndugu zangu mko okey??
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 May 1, 2017 #176,898 Bitoz said: 3/The Reticulated Python Wanapatikana huko Asia Kusini Mashabiki Huwa na wastani wa futi 20 Mkubwa zaidi kurekodiwa ni mwenye futi 30 ........ Click to expand...
Bitoz said: 3/The Reticulated Python Wanapatikana huko Asia Kusini Mashabiki Huwa na wastani wa futi 20 Mkubwa zaidi kurekodiwa ni mwenye futi 30 ........ Click to expand...
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 May 1, 2017 #176,899 Nyagei said: Unamaliza robo tu? Click to expand... 500-750-1000gms
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 May 1, 2017 #176,900 Shunie said: Aiseee Click to expand... Shemela niaje