shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
KhaaaaSaa 7
Ila shemela wetu aliingia kwa mkwala mzito sanaNaona anaogopa mziki alio ufungulia mwenyewe
Mzee wa bahati, hongera kwa 176 KAhaaaaaaah
NdioKhaaaa
Angalia tu, Enzi za Tyson tulikuwaga tunakeshani live nimechokaa hata sijui wanaanza sa ngp
Amen shem waneusiku mwema mashemela wa shunie mlale salama na mlindwe na damu ya Yesu
acha nikawajibike si mnajua leo amerudi nisije nikaibiwa
binamu obe shikamoo nitamwambia mjomba ako kuhusu swala lako la simu ya tachi akununulie
mlale unono
Duuuh kumbe na wewe ulipewa kazi ya ulinzi ya dayworkSio ngonjela?
Sio yeyeNi yeye
Inabidi umsikie tu maana hamna namna nyinginehahahhah sitaki ata kumsikia
nakumbuka halaf mnaangalia sa 10Angalia tu, Enzi za Tyson tulikuwaga tunakesha
Nawe pia shemela pamoja na Leeusiku mwema mashemela wa shunie mlale salama na mlindwe na damu ya Yesu
acha nikawajibike si mnajua leo amerudi nisije nikaibiwa
binamu obe shikamoo nitamwambia mjomba ako kuhusu swala lako la simu ya tachi akununulie
mlale unono
me mbona kapole muulize lee hahahhhIla shemela wetu aliingia kwa mkwala mzito sana
Kuna walinzi wanaoonekana na wasio onekanaDuuuh kumbe na wewe ulipewa kazi ya ulinzi ya daywork
Ameona ni kama usalama hauko sawa kaona kuna mtu anaendesha utekajiIla shemela wetu aliingia kwa mkwala mzito sana
ndio mana nakupendaga shemelaKuna walinzi wanaoonekana na wasio onekana
Kumbe ulionaAmeona ni kama usalama hauko sawa kaona kuna mtu anaendesha utekaji