Makapuku Forum

Nasubiriaaa ripoti yake


Namshukuru Mungu ....ila bora ka nchi ketu kaendelee kuwa na vurugu tu insta ...kuna nchi watu wanatesekaa mkuu
 

Hawa mbumbumbu watakuwa hawajui muda
Wanatuchanganya
Labda SAA 2 ya Malkia hivyo kwetu SAA 5 au wanamaainisha SAA 8
Hata siwaelewi tangazo limeandikwa kwa maneno "SAA MBILI USIKU"

cc SHIMBA
........
 
Karibu tena mtoto wa Mao
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…