Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Amaizing you are so amazing ladyHelo
Amaizing you are so amazing ladyHelo
Hakuna haja ya kuwaqoute hao wapuuziWho asks for your opinion???
Relax my friend hizi changamoto tu. Walikuja wengine kama hao wakasepaTunapiga blahblah na kuongea upuuzi km wa kwako
................
Hajitambui huyo mpotezee tu. Ndugu kwema lakiniTuondolee nzi hapa, we mwenyewe hueleweki
Mpuuzi tu huyo ye anafikiri tupo angaza hapaWho asks for your opinion???
Mahaba yanamchanganyaSie tunaelewana
We huwez kutuelewa
So pitika kimya kimya![]()
![]()
Jitu lenyewe limepigika hadi basiWho asks for your opinion???
Kwema makamanda, soon tunaingia 20k, atakayebahatika kupost comment ya 20,000 namlambisha zawadiHakuna haja ya kuwaqoute hao wapuuzi
Relax my friend hizi changamoto tu. Walikuja wengine kama hao wakasepa
Hajitambui huyo mpotezee tu. Ndugu kwema lakini
Mdogo mdogo tu tutafikaKwema makamanda, soon tunaingia 20k, atakayebahatika kupost comment ya 20,000 namlambisha zawadi
Potezea hajui km kuna wasomi anafikiri sisi watoto wa kijiweni km yeyeWe kama huna kazi ni wewe makapuku forum wote tuna kazi za kufany mpuuzi wewe
Ameingiwa na pepo wachafu,yeye anawaita"upako"Naona mvurugano humu ndani. Haya sielewi elewi kabisa. jambilo amevurugwa
Si ndo hapo sasa!Jitu lenyewe limepigika hadi basi
Kapotea huyu mtumishi duuuh.Ameingiwa na pepo wachafu,yeye anawaita"upako"
Hahahahahaha mwambieni kuwa yeye sio wa kwanza kuleta kiherehere chake hapa na hatakuwa wa mwisho, sisi tunaelekea 18k kwasasa hivyo hatuna haja ya ushauri wake?Mpuuzi tu huyo ye anafikiri tupo angaza hapa
Umenikumbusha Criminal law....kuna topic inaihusu OPINION OF AN EXPERT(Evidence from an expert opinion)Who asks for your opinion???
Patience123 mpenzi wangu nisamehe naomba turudiane, huko duniani nimeteswa saana na Jimena yaani ana mnyororo mreefu, mim siwezi huyu dada. Nipokee mpenziAmeingiwa na pepo wachafu,yeye anawaita"upako"
mmmmmhhh, du
Jamani huyu mume keshanitumbua jipu,kasema sijui kuvaa,sijui mitoko na swaga za kileo...amempenda Jimena mara@everlenk mara anawaita warembo wakali...arande tu kwa kweli...nimempa kila kitu kaniona wa nini..sasa mimi namuona wa kazi ganiSi tu anaranda randa ila ni anaranda randa huku anapiga ukunga kwa kila amuonae huko barabaran..
Baada ya kuchuja ndo unarudi?....kajipange baba...na mie already 'sold'Patience123 mpenzi wangu nisamehe naomba turudiane, huko duniani nimeteswa saana na Jimena yaani ana mnyororo mreefu, mim siwezi huyu dada. Nipokee mpenzi
Ni kweli kabisa, walikuja mpaka wengine wakajaribu kuomba uzi upigwe ban ila waliambulia patupu. Hivyo hata huyu atapita piaHakuna haja ya kuwaqoute hao wapuuzi
Relax my friend hizi changamoto tu. Walikuja wengine kama hao wakasepa
Hajitambui huyo mpotezee tu. Ndugu kwema lakini
Umenikumbusha Criminal law....kuna topic inaihusu OPINION OF AN EXPERT(Evidence from an expert opinion)
![]()
![]()
![]()
![]()
......................
