Makapuku Forum

Makapuku Forum

2e457a35ec82ac8f1df2ad9b57d349c5.jpg
f73c0db98007dac6768ee2435211d406.jpg
47cac9efe506d9366849b5da1427df8e.jpg
445d7d4a8efeb96c7647b1c2411303f7.jpg
 
Jimena nakubaliana na wewe ila sisi wanaume huwa tuna amini kwamba mwanamke yeyote anayeonyesha ugumu mwanzon wakati unamwa-approach huyu ndiye atakuja kukukubalia mwishoni so na amini jambilo hajapoteza track saaana wacha tutaona mwisho..
Jimena nakubaliana na wewe ila sisi wanaume huwa tuna amini kwamba mwanamke yeyote anayeonyesha ugumu mwanzon wakati unamwa-approach huyu ndiye atakuja kukukubalia mwishoni so na amini jambilo hajapoteza track saaana wacha tutaona mwisho..
Jimena nakubaliana na wewe ila sisi wanaume huwa tuna amini kwamba mwanamke yeyote anayeonyesha ugumu mwanzon wakati unamwa-approach huyu ndiye atakuja kukukubalia mwishoni so na amini jambilo hajapoteza track saaana wacha tutaona mwisho..
mmmmmhhh, du
 
Si tu anaranda randa ila ni anaranda randa huku anapiga ukunga kwa kila amuonae huko barabaran..
Jamani huyu mume keshanitumbua jipu,kasema sijui kuvaa,sijui mitoko na swaga za kileo...amempenda Jimena mara@everlenk mara anawaita warembo wakali...arande tu kwa kweli...nimempa kila kitu kaniona wa nini..sasa mimi namuona wa kazi gani
 
Hakuna haja ya kuwaqoute hao wapuuzi

Relax my friend hizi changamoto tu. Walikuja wengine kama hao wakasepa

Hajitambui huyo mpotezee tu. Ndugu kwema lakini
Ni kweli kabisa, walikuja mpaka wengine wakajaribu kuomba uzi upigwe ban ila waliambulia patupu. Hivyo hata huyu atapita pia
Tumpotezee
Hapana kuwaqoute wala kuwapa like
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom