Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Hao wanakuja na kuondoka wala wasitupe shida kabisa.Ni kweli kabisa, walikuja mpaka wengine wakajaribu kuomba uzi upigwe ban ila waliambulia patupu. Hivyo hata huyu atapita pia
Tumpotezee
Hapana kuwaqoute wala kuwapa like