BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Karibu sanaAmen Mama.
Karibu sanaAmen Mama.
Leo hakuna picha kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wanguLeo Katika Historia:
Sina la ziada, weekend njema.
Bora kung'oa hata wahenga walisema dawa ya jino KUNG'OA..Utakuwa sawa tunakuombeaYeah, yaani jamaa kafa unexpectedly kabisa bado akiwa kijana tena mtu wa mazoezi gym humkosi. Sasa sijui ni Malaria ameichezea. So sad!
Root canal mateso tu. Nadhani nitaling'oa tu halafu nitaangalia utaratibu wa kuweka jingine. Nikimeza dawa za maumivu mpaka nasahau lakini after 6 hrs naanza tena kusikia mpwito mpwito.
Wanasayansi bwana!
Mchapo. Jamaa wa NASA walienda na BIC mwezini zikagoma kuandika kwa sababu sijui hakuna gravity na presha ni kidogo. Waliporudi wakafanya utafiti mpaka wakaweza kutengeneza kalamu zenye wino maalum usioathiriwa na gravity wala presha kwa kutumia zaidi ya dola milioni 30. Warusi wao wakaenda anga za juu na penseli tu na hawakuwa na tatizo lo lote!![]()

HAKIKAPole sana SHIMBA
Ndio tijue thamani ya maisha
Tuutumie muda wetu tunaokutana hapa vizuri maana hakuna mwenye uhakika na kesho
Tupandikize mbegu za upendo miongoni mwetu
.........
Njema mkuu za uzima?karibuHabari za asubuhi wakuu
Bless
Shunie miss you
Asante sana mkuu Nyagei,ubarikiwe![]()
Tukutane kwenye ratiba za michezo
Njema ubarikiwehabari ya wikendi ndugu zangu!
Asante sana kwa historia mkuu Mussolin5 ubarikiwe sana jumamosi njemaLeo Katika Historia:
Sina la ziada, weekend njema.
Inawezekana
Amen,ubarikiweLeo hakuna picha kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu
.....
Asante, nawe pia mtumishi wa MunguAsante sana kwa magazeti mkuu ubarikiwe,siku njema nawewe![]()
Hawezi kutoka Emirates