Makapuku Forum

Makapuku Forum

6b50dc501871da701b9c5cc871b37dae.jpg
Aisee
 
Yeah, yaani jamaa kafa unexpectedly kabisa bado akiwa kijana tena mtu wa mazoezi gym humkosi. Sasa sijui ni Malaria ameichezea. So sad!

Root canal mateso tu. Nadhani nitaling'oa tu halafu nitaangalia utaratibu wa kuweka jingine. Nikimeza dawa za maumivu mpaka nasahau lakini after 6 hrs naanza tena kusikia mpwito mpwito.
Kweli tupendane tuombeane,kila mtu anapitia changamoto fulani tusiache kuchukuliana kwa upendo na kuvumliana.

Pole sana kwa msiba warafiki,Mungu ailazevroho yake mahali pema peponi,pole kwa ndugu jamaa na marafiki wote

Pole sana kwa maumivu ya jino ,Mungu akupe wepesi upone haraka nakuombea uponyaji katika jina la Yesu.

Ukiwa nyumbani chemsha karafuu kama punje kumi,kwa lita moja ya maji,yakiwa vuguvugu chuja uwe unasukutua itakusaidia.

Mungu akutie nguvu,uwe na siku njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom