shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kuliko sobibo1945 - Gereza la Mateso la Dachau lililokuwa chini ya NAZI lakombolewa na Marekani katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia.
Lilikuwa ni moja katinya magereza yenye mateso na mauaji makubwa chininya Adolf Hitler.
