Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tukijaaliwa uzima hapo baadae tutakutana kwenye ratiba na UF kwa hisani ya Katibu lee empire.

Tuwe na mapumziko mema Makapuku
Amen asante Mungu kwa upendo wako,umetulinda na kutuamsha salama tembea nasi siku yaleo bariki kazi za mikono yetu bariki tuingiapo na tutokapo,tujaze upendo,furaha ,mshikamano tuchukuliane mizigo,ponya majeraha,ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,wajane,wahitaji tutendee sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen
 
Amen asante Mungu kwa upendo wako,umetulinda na kutuamsha salama tembea nasi siku yaleo bariki kazi za mikono yetu bariki tuingiapo na tutokapo,tujaze upendo,furaha ,mshikamano tuchukuliane mizigo,ponya majeraha,ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,wajane,wahitaji tutendee sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen
Amen
 
IMG-20170429-WA0001.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom