Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Amen mama mchungajiUsiku mwema Makapuku Mungu awafunike kama kuku afunikavyo vifaranga wake baraka zake ziwe nanyi muamke salama na wenye afya njema![]()
Nawe pia ubarikiwe
Amen mama mchungajiUsiku mwema Makapuku Mungu awafunike kama kuku afunikavyo vifaranga wake baraka zake ziwe nanyi muamke salama na wenye afya njema![]()
Hapana tumelalaBado hamjalala..
Na kwako piaSawa, ukimwambia wewe anunue simu atakubali fasta, mimi huwa namkumbusha krismasi ya 7 sasa hadi.
Kwa sasa hivi natumia kompyuta ya ofisini, bosi akiwepo tu ndo mnakuwa mara mnaniona mara hamnioni kama kivuli vile.
Njozi njema
mkhubi???Mbona kodo
hapana si kweli
Yupo wapi mkubhi?mkhubi???
goodTukijaaliwa uzima hapo baadae tutakutana kwenye ratiba na UF kwa hisani ya Katibu lee empire.
Tuwe na mapumziko mema Makapuku
Amen asante Mungu kwa upendo wako,umetulinda na kutuamsha salama tembea nasi siku yaleo bariki kazi za mikono yetu bariki tuingiapo na tutokapo,tujaze upendo,furaha ,mshikamano tuchukuliane mizigo,ponya majeraha,ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,wajane,wahitaji tutendee sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu AmenTukijaaliwa uzima hapo baadae tutakutana kwenye ratiba na UF kwa hisani ya Katibu lee empire.
Tuwe na mapumziko mema Makapuku

AmenUsiku mwema mpendwa
AmenAmen asante Mungu kwa upendo wako,umetulinda na kutuamsha salama tembea nasi siku yaleo bariki kazi za mikono yetu bariki tuingiapo na tutokapo,tujaze upendo,furaha ,mshikamano tuchukuliane mizigo,ponya majeraha,ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,wajane,wahitaji tutendee sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen![]()