Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha hahahahah, ukifurahi nami nafurahia. Seriously, ninapoandika kuhusu saa yangu si kwamba nina makidai, wala nawaringishia Makapuku ( najua wengi wana saa) la, ni kitu cha kujivunia kuwa na saa.

Hebu sikiza nyimbo hizo nilizotaja na kuimbwa Bill mwenyewe sio waliozirudia

Ndo maendeleo, nimeanza na saa. Nikitaka simu ya tachi nitawashirikisha.
Tupo washirikishwaji
 
Ha hahahahah, ukifurahi nami nafurahia. Seriously, ninapoandika kuhusu saa yangu si kwamba nina makidai, wala nawaringishia Makapuku ( najua wengi wana saa) la, ni kitu cha kujivunia kuwa na saa.

Hebu sikiza nyimbo hizo nilizotaja na kuimbwa Bill mwenyewe sio waliozirudia

Ndo maendeleo, nimeanza na saa. Nikitaka simu ya tachi nitawashirikisha.
binamu acha nilale kwahiyo simu ya tachi huna hapo ulipo unatumia simu gani
nitamwambia mjomba ako akununulie simu ya tachi ngoja arudi
 
Matokeo ya mechi za leo
Belgium playoffs
23b38012b50fadbe6b8f2dccb01112ba.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom