Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
PoaNaendelea vyema mkuu
Habari ya Chuga?
PoaNaendelea vyema mkuu
Habari ya Chuga?
Lile tukio la Simba kujeruhi ulilifuatilia kwa ukaribu mkuu au hujapata muda?
Na kwako pia mkubhiusiku mwema!
like seriously?? 😳Na kwako pia mkubhi
Nimeona picha mkuu, hebu nijuze ulikuwa huko?Lile tukio la Simba kujeruhi ulilifuatilia kwa ukaribu mkuu au hujapata muda?
Ooh! Angekuwepo Lee basi angekudekesha balaa.....Usitie huruma bana...hapana msukuma sio tusi zinaonyesha ninavyotia huruma

binamu acha nilale kwahiyo simu ya tachi huna hapo ulipo unatumia simu gani
nitamwambia mjomba ako akununulie simu ya tachi ngoja arudi
Usiku mwema Makapuku Mungu awafunike kama kuku afunikavyo vifaranga wake baraka zake ziwe nanyi muamke salama na wenye afya njema![]()
Mbona kodolike seriously?? 😳
mbona ana mda sana mukongo ni baba mchuchu
Hapana sipo huko nipo kwa mwanasiasa wa DarNimeona picha mkuu, hebu nijuze ulikuwa huko?