happy birthday Juan Mata1988 - Juan Mata anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Real Madrid, Valencia, Chelsea na Man Utd.
Pia huchezea timu ya taifa ya Hispania ambapo tayari ameshinda Kombe la Dunia na Kombe la mataifa ya Ulaya.
Asante mussolin kwa historia na Bitoz kwa pichaLeo katika Historia:
Niwatakie Ijumaa njema.
1937 - Saddam Hussein anazaliwa.
Dikteta wa zamani wa Iraq na Rais wa 5 wa nchi hiyo.
sio michirizi hiyo
Dada zetu kwa nini mnafuga kucha ndefu mnatuumiza
teh teh hakuna njaaJamaa alikuwa ubingwa wa propaganda
Sizonje "hakuna njaa" haifui dafu
....
mornie TNUKUU YA LEO
Democracy is beautiful in theory: in practice it is fallacy
Demokrasia ni nzuri katika nadharia, katika vitendo ni Uongo
Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwandishi, mwanasiasa na waziri Mkuu wa 27 wa Italia Bw. Benito Andre mussolini aliezaliwa 29/07/1883 na kufariki 28/04/1945 kwa kupigwa risaasi kijijini Giulino de mezzegra akiwa na mkewe Clara Petacci.
Musollini alikuwa ni kiongozi wa Partio Nazionale Fascista; PNF , chama ambacho kiliweka demokrasia pembeni na kutekeleza sera za kidikteta zilizojulikana kama II Duce.
Mussolini amepigana vita kama vita vya 1 na vya 2 vya Dunia, Vita ya Italia-Ethiopia na Uvamizi wa Itali nchini Albania.
Kiufupi mussolini hakupenda demokrasia hata kidogo na hivyo hakupenda kuwa muongo
Alisema kile alichokiamini yeye..
Lakini katika uhalisia wa ukweli hakuna demokrasia ya kweli..hata wale wanaodai kuwa na demokrasia nchini mwao ni waongo manake kuna vitu vinafanyika havihitaji demokrasia..
Penda usipende kuna vitu vitafanywa na kikundi cha watu wachache bila maamuzi yako.
Kuna mengi kuhusu mussolini lakini nitaweka nyama baadaye..
Morning wakuu.
miss u moree mondrayShunie miss you...
Sana
Naisubiri hapaSoon tutapata ratiba ya michezo
1970 - Diego Simione anazaliwa.
Mchezaji wa zamani na kocha wa sasa wa Atletico Madrid na timunya taifa ya Argentina.
Moja ya wachezaji watukutu enzi anacheza soka na sasa akiwa mmoja kati ya makocha vijana wahamasishaji.
Morning, Asante kwa kujazia nyamaNUKUU YA LEO
Democracy is beautiful in theory: in practice it is fallacy
Demokrasia ni nzuri katika nadharia, katika vitendo ni Uongo
Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwandishi, mwanasiasa na waziri Mkuu wa 27 wa Italia Bw. Benito Andre mussolini aliezaliwa 29/07/1883 na kufariki 28/04/1945 kwa kupigwa risaasi kijijini Giulino de mezzegra akiwa na mkewe Clara Petacci.
Musollini alikuwa ni kiongozi wa Partio Nazionale Fascista; PNF , chama ambacho kiliweka demokrasia pembeni na kutekeleza sera za kidikteta zilizojulikana kama II Duce.
Mussolini amepigana vita kama vita vya 1 na vya 2 vya Dunia, Vita ya Italia-Ethiopia na Uvamizi wa Itali nchini Albania.
Kiufupi mussolini hakupenda demokrasia hata kidogo na hivyo hakupenda kuwa muongo
Alisema kile alichokiamini yeye..
Lakini katika uhalisia wa ukweli hakuna demokrasia ya kweli..hata wale wanaodai kuwa na demokrasia nchini mwao ni waongo manake kuna vitu vinafanyika havihitaji demokrasia..
Penda usipende kuna vitu vitafanywa na kikundi cha watu wachache bila maamuzi yako.
Kuna mengi kuhusu mussolini lakini nitaweka nyama baadaye..
Morning wakuu.
Hiyo ni michirizisio michirizi hiyo
Safari hii naona timu haichezi vizuri
Ndio aliyemtia hasira Beckham World Cup 1998 hadi kufanya jambo la kijinga na julambwa umeme na Uingereza kutupwa nje japo Michael Owen alifunga goli zuri
Kaiongoza Atletico final mbili URFA na kupigwa zote
Msimu huu ana dalili pia ya kwenda fainali kusindikiza tu
......
Beckham alifanya ujinga sana, ila amshukuru Ericsson kwa kumrudisha kwenye mstari
Ndio aliyemtia hasira Beckham World Cup 1998 hadi kufanya jambo la kijinga na julambwa umeme na Uingereza kutupwa nje japo Michael Owen alifunga goli zuri
Kaiongoza Atletico final mbili URFA na kupigwa zote
Msimu huu ana dalili pia ya kwenda fainali kusindikiza tu
......
Asante kwa nukuu mkuu T ubarikiwe,siku njemaNUKUU YA LEO
Democracy is beautiful in theory: in practice it is fallacy
Demokrasia ni nzuri katika nadharia, katika vitendo ni Uongo
Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwandishi, mwanasiasa na waziri Mkuu wa 27 wa Italia Bw. Benito Andre mussolini aliezaliwa 29/07/1883 na kufariki 28/04/1945 kwa kupigwa risaasi kijijini Giulino de mezzegra akiwa na mkewe Clara Petacci.
Musollini alikuwa ni kiongozi wa Partio Nazionale Fascista; PNF , chama ambacho kiliweka demokrasia pembeni na kutekeleza sera za kidikteta zilizojulikana kama II Duce.
Mussolini amepigana vita kama vita vya 1 na vya 2 vya Dunia, Vita ya Italia-Ethiopia na Uvamizi wa Itali nchini Albania.
Kiufupi mussolini hakupenda demokrasia hata kidogo na hivyo hakupenda kuwa muongo
Alisema kile alichokiamini yeye..
Lakini katika uhalisia wa ukweli hakuna demokrasia ya kweli..hata wale wanaodai kuwa na demokrasia nchini mwao ni waongo manake kuna vitu vinafanyika havihitaji demokrasia..
Penda usipende kuna vitu vitafanywa na kikundi cha watu wachache bila maamuzi yako.
Kuna mengi kuhusu mussolini lakini nitaweka nyama baadaye..
Morning wakuu.
Tunasubiri mkuuSoon tutapata ratiba ya michezo
mbona amesema meno ya mwanamke imemn'gataHiyo ni michirizi