Makapuku Forum

Haswaa

Yule jamaa alianza mapema kula mema ya muungano wazee wakaingilia.

Itakuwa kuna vitu alifanya sio bure mpaka mtoto aamue kujitosa afe kuliko kumkosa mtu wa bara.

Hivyo yule jamaa ana umuhimu sana kwenye harakati hii
Hahahaaaaaaa, kwenye kisiwa cha chumbe palipo na mnara wa kuongozea meri, cha ajabu alikuwa anapiga mbizi huku analia,mpaka anaokolewa analia tu, je kilichokuwa kinamliza ni nini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…