Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tongotongo la Asubuhi
e3ab0894c90406fbe44cd9c284fac4d5.jpg
f4a3b6774e30dbf9bbadda727fa4dec7.jpg

Lake Hillier
Ndio Ziwa pekee duniani lenye maji ya rangi ya pink
Kamwe maji yake hayajawahi kubadilika rangi pia Wanasayansi wamejaribu kugundua chanzo cha hayo maji kuwa ya pink lakini bado hadi leo hawajui
Linapatikana Magharibi mwa nchi ya Australia

Asubuhi njema
...........
Je vipi kuhusu shughuli za uvuvi na watu kuoga humo ziwani?
 
Je vipi kuhusu shughuli za uvuvi na watu kuoga humo ziwani?
9e462bbe699e437a924534b605efdba7.jpg
Unawea kuogelea km ww ni mzoefu maana ukiwa ndani ya maji kuona itakuwa shida hivyo siyo ziwa la kibwegebwege
ffe501e41ef7cf6f4d8fcb099b3c9488.jpg

Pia samaki wanaonekagna wapo

Hayo Maziwa ya pink yapo pia sehemu zingine duniani ila hilo rangi yake ni permanent hata ukiyachota

Mfano
Ziwa pink la Senegal lina kiwango kikubwa cha chumvi pengine kuizidi bahari hivyo kusababisha vitu kuelea kwa urahisi.. lita moja ya maji ina kiwango cha chumvi gramu 380 na shughuli kuu ni uvuvi na kuchimba chumvi
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom