Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Kwanza tumtafute yule jamaa ambae mpenzi wake alijitosa baharini ili atupatie maujanjandio muda huu wa kwenda zanziber kuchua hao mademu
Kwanza tumtafute yule jamaa ambae mpenzi wake alijitosa baharini ili atupatie maujanjandio muda huu wa kwenda zanziber kuchua hao mademu
Kuchovya niniHuyo ni wa kuchovya
tayaritakiiiiiii shika yako
Bwana apewe sifaAmen
UparokoKuchovya nini
Kwanza tumtafute yule jamaa ambae mpenzi wake alijitosa baharini ili atupatie maujanja
Asante Nyagei kwa taarifa za michezo na ratiba ubarikiweSpain LaLiga
![]()
shemelaMhhhhhmhhhhh
Asante kwa magazeti mkuu ShululuMpaka hapo Sina la ziada kwenye magazeti kwa udhamini mnono wa shemela shunie, Nawatakieni asubuhi njema na sherehe njema za muunngano
Pia leo ndiyo nazaliwa

sawatayari
Haswaa![]()
![]()
![]()
kweli kabisa mkuu tumtafute huyo shurkan wa zanzibar atupe ma point ya kuwateka
AmenAsante Nyagei kwa taarifa za michezo na ratiba ubarikiwe
Mambo ya Mungu ,siyo ya mwanadamuTongotongo la Asubuhi![]()
![]()
Lake Hillier
Ndio Ziwa lenye maji ya rangi ya pink
Kamwe maji yake hayajawahi kubadilika rangi pia Wanasayansi wamejaribu kugundua chanzo cha hayo maji kuwa ya pink lakini bado hadi leo hawajui
Linapatikana Magharibi mwa nchi ya Australia
Asubuhi njema
...........

Pole sana sana.Shukrani wadau
Nimeamka kwa unafuu
.......

Asante kwa magazeti mkuu Shululu
Hongera sana kwa siku yako kubwa ya kumbukumbu ya kuzaliwa.
Namwomba Mungu akupe maisha marefu,hekima,furaha.
Akupe haja ya moyo wako
Ufanikiwe katika kila hatua ya maisha yako.
Mungu awe nawe daima .
UBARIKIWE
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
NitaangaliaAmen
Je utaangalia mechi mojawapo hapo?
Nyagei mambo yakoHaswaa
Yule jamaa alianza mapema kula mema ya muungano wazee wakaingilia.
Itakuwa kuna vitu alifanya sio bure mpaka mtoto aamue kujitosa afe kuliko kumkosa mtu wa bara.
Hivyo yule jamaa ana umuhimu sana kwenye harakati hii
Amen Nyagei Mungu awe pamoja na weweAmen![]()
![]()
![]()
Na kwako pia mama mchungaji
Ubarikiwe Blessedhope

Mh hayaUparoko
Niambie shemela wangushemela