Lugha 2000
Inakadiriwa barani Afrika zinazungumzwa lugha takribani 2000...Lugha nyingi ni za kikabila/asili, ila lugha za kigeni hutumiwa zaidi km lugha za kiofisi
Kwa Tanzania makabila yote yameunganishwa kwa lugha moja yaani Kiswahili tunachotambia humu JF
Ndaga Kyala!!
.........