Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Sakayo wapi?bado jerry
Sakayo wapi?bado jerry
Lazima kujiamini.hata maneno yanaongea u mzuri my dearSisi wazuri ila hatujiamini mpaka tupake mekapu![]()
Ilikua safiAsubuhi inakwendaje kapukuz
R.I.P Ahmed Sekoutoure![]()
![]()
RIP![]()
.,.
Ubarikiwe mkuuLeo katika Historia:
Sina la ziada niwatakie siku njema.
Tuko pamoja sana mjomba, all the bestWakuu hope mko salama wote ,Leo sijawaletea magazeti ila naona baby anashukuliwa atakuwa amefanya hivo nimeskip post
Ntawamisi ila nawakumbuka na ntakuwa nawajulia hali kimagumashi kwa hizi siku mbili tatu
Nawapenda sana wote
Baby shunie take care ....
Ila ntaumis utani wetu hasa wanakamati wenzangu
UKAWAHumu ni wapii??
LoveHello sweetie Sakayo..
Time to sleep..leo sijisiki vizuri sana..! Inabidi nilale mapema tuu..
Just wanted to tell you that i real love you..
Uwe na usiku mwema utamu wa wangu Sakayo..![]()
Nakupenda pia mume wangu!!!Mwambie nampenda...
Afu kalala hajaaga
Nipo handsome, missed you badlySakayo wapi?
JamaniiiiNaendelea pouwa mkuu..
Namshukuru Mungu..
Hello lovely..Love
Waendeleaje jamani!!! Jana nlilala na simu mikononi na data on.
Sorry mpenzi, love you roho yangu
Am doing well my love, worried about you hubbySakayo wangu how have you been?
Babe niko safi jamani.Hello lovely..
Am doing better now., nahisi ni hali ya hewa niliyobadili kidogo..
Uko pouwa asali yangu?