Makapuku Forum

Makapuku Forum

unajuwa uwongozi ni kipaji mola akuteuwe maana kungoza watu kunahitaji mkono wa mungu na bahati mbaya huyu mwenzetu hajajaliwa na ndo kosa walofanya na nahisi kuna watu humo humo wanajutia ,

Ujuwe hakuna kitu kibaya ukawa na adui ndani ,wakat unahangaika kupambana na adui wa nje unakuja kugundua kumbe huyu wa ndani ndo m'baya zaidi kulikoni yule wa nje na unapolikundua hilo kipindi hicho huna nguvu tena za kupambana na huyu wa ndani maana nguvu nyingi uliwekeza kwa adui wa nje ,

Ndicho kilicho tokea chama cha.....
Point

Rekebisha makosa kwenye uandishi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom