Hakuna MTU(HATA MIMI) anayeweza kupangia kipi kiwepo au kisiwepo ...ugomvi na matusi ndo havikubaliki
Ila tu huwa tunakubaliana kwa pamoja km kuna mapungufu tunajadili...hivyo kilichosemwa ni kwamba watu ambao hawana vipindi wajitahidi kubuni na wao ili kuboresha thread
...........