BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
HBDVictor Anichebe1988 - Victor Anichebe anazaliwa.
Straika wa Sunderland ambaye pia amewahi kucheza Everton na huchezea timu ya taifa ya Nigeria.
HBDVictor Anichebe1988 - Victor Anichebe anazaliwa.
Straika wa Sunderland ambaye pia amewahi kucheza Everton na huchezea timu ya taifa ya Nigeria.
Uko sahihi kabisa, ila lukaku aache uchoyoLukaku ni straika mzuri pia umri wake unambeba
Ibra wa sasa sio wa zamani anatkwa awe anaingizwa km sub na sio kucheza dk 90 maana hakabi anapoteza mipira kiboya akipata chance 9 anafunga goli 3 tu
...
HBD Taio Cruz1985 - Taio Cruz anazaliwa.
Mwanamuziki kutoka nchini Uingereza.
Samtaimu mambo hayo hutokea kumbuka na David Luiz + Juan MataLakini josee ndo alimuona hafai pale Chelsea akamtoa kwa Everton ...sijui kwani wachezani ambao hawaamini huyu mreno waga wanamuaibisha
Inshort hawezi tengeneza mchezaji anataka ambao tayari wako on peak matokeo yake ndo hivo wazee
Ni kama kwa beki Tatu wa atreticoLakini josee ndo alimuona hafai pale Chelsea akamtoa kwa Everton ...sijui kwani wachezani ambao hawaamini huyu mreno waga wanamuaibisha
Inshort hawezi tengeneza mchezaji anataka ambao tayari wako on peak matokeo yake ndo hivo wazee
The winner is Joooooohn Ceeeeen. HBD JOHN CENA.KUMBE MDOGO HIVI1977 - John Cena anazaliwa.
Mwanamieleka mashuhuri kutoka nchini Marekani.

Marekani kwa ujasusi tu ni shida1951 - Mwandishi wa Kimarekani William N. Oatis anakamtwa na Serikali ya Kikomunist ya Czechslovakia kwa kosa la kufanya Ujasusi nchini humo.
Njema kakq Mwaghona?Mwalamusha?Mtumishi habr yako
1951 - Mwandishi wa Kimarekani William N. Oatis anakamtwa na Serikali ya Kikomunist ya Czechslovakia kwa kosa la kufanya Ujasusi nchini humo.
Namkubali sana huyu jamaa1977 - John Cena anazaliwa.
Mwanamieleka mashuhuri kutoka nchini Marekani.
Mungu amtie nguvu Mwalimu JoyceHabari ya mwalimu Joyce imenishangaza sana
Asante kwa ujumbe wa jumapili mama mtumishiTAFUTA KUWA NA AMANI NA WATU WOTE
MITHALI 25
21 Adui yako akiwa ananjaa ,mpe chakula;Tena akiwa anakiu ,mpe maji ya kunywa.
22 Maana utatia makaa ya moto kichwani pake;Na Bwana atakupa thawabu.
Katika suala gumu maishani moja wapo ni hili la kuwapenda maadui zetu,Lakini ndivyo ilivyo hata kwa Bwana Yesu alisema wasamehe maana hawajui watendalo.
Mtu akikukosea Mwambie Bwana Teta nao wanaoteta nami........Zaburi 35 ..................... usiwe na hasira ya kudumu.
Katika somo hili unapompenda na kumtendea mema adui
Bwana atakupa thawabu.
Utakuwa umemsaidia yeye kubadilika pia
Ni adhabu tosha maana neno lasema utakuwa umewasha makaa ya moto kichwani mwake.
Wapendwa siyo kazi nyepesi ila kwa msaada wa Roho Mtakatifu inawezekana.
Tunakushukuru Baba kwa ulinzi wako na kutuamsha salama ,asante kwa yote unayotutendea asante kwa afya ,riziki ,marafiki na maadui tunaomba uendelee kutuimarisha tuweze kuwa na uvumilivu wa kuwapenda maadui na kuwaombea.
Siku ya leo ponya roho zetu,ponya majeraha,ponya wafiwa,wagonjwa ,wenye mahitaji..
Tufundishe kuchukuliana mizigo kwa upendo na kuwa sababu ya furaha kwa wengine na kuwasaidia watu kubadilika na kutenda kadri wanavyopenda kutendewa
Asante Baba kwa sababu utatupa kushinda kila siku za maisha yetu na kutujenga kuimarishana maana hakuna mkamilifu.
Jumapili ya leo ikawe ya baraka ushindi na kutubdilisha.
Kwa jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
WAPENDWA JUMAPILI NJEMA![]()
Sijui tutapikia niniCancer kwenye alizeti!!
Pole sana sana nini tenaNipo mtaasisi jana nilishindwa kupata good music nilikuwa hoi sana
Nzuri, Asante nawe pia uwe na jumapili yenye baraka teleMorning Shululu za uzima?za siku?ubarikiwe
Yaaaah philip kibanioNi kama kwa beki Tatu wa atretico