Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani mama ntilie chakula chake ni ghali kuliko hotelini.
1. Unaweza kufanikiwa kipindu pindu na uharishe chote ulichokula cha wiki nzina na uanze kujaza tumbo upya.
2. Utahara na usifanye kazi siku tatu.
Hizo gharama hamzioni?
Japo wapo akina mama lishe wazuri sio ntilie lkn
Lee haelewi haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom