Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Shemela bora umerudi ujioneeKuna mapinduzi yanapangwa ni nini
Shemela bora umerudi ujioneeKuna mapinduzi yanapangwa ni nini
Ujengee box la chuma huyu shemu haaminiki kivile bado macho juukaka mm nina moyo ujue
utaiweza tu mbona ya net umeiwezaHiyo kazi ntaiwezaa kwelii??
Wewe si umenchuniaVale ananizungua shunie..
Yaan mm ni mtu wa kuachwa tu
Fremzero
Paprika
Ukhuty
Chakorii
Valentina
Aaaah naji commit sasa kwa uzi wa nguo..

Fanya hivi..hapana mondray mchukue tu kilazima naona anajibebisha kwa baby wangu si mnajijuaga nyie wanaume mtu akijileta mnamaliza
Binamu nakupenda ujue
Lee haelewi hayaYaani mama ntilie chakula chake ni ghali kuliko hotelini.
1. Unaweza kufanikiwa kipindu pindu na uharishe chote ulichokula cha wiki nzina na uanze kujaza tumbo upya.
2. Utahara na usifanye kazi siku tatu.
Hizo gharama hamzioni?
Japo wapo akina mama lishe wazuri sio ntilie lkn
Nampenda mpaka nimechanganyikiwaapoa, nitamchanganya Remmy (RIP) na mkongwe mwenzake Dekule Kahanga almaarufu Vumbi.
Mjomba wangu huyu naye ana moyo lakini, na macho anaona.
mpige tu shemelaNitampiga faini
Sio kweli mm simchunii mtu nimpendaye..Wewe si umenchunia![]()
Sawa binamu nashkuru snapoa, nitamchanganya Remmy (RIP) na mkongwe mwenzake Dekule Kahanga almaarufu Vumbi.
Mjomba wangu huyu naye ana moyo lakini, na macho anaona.
Naangalia ila sielewi elewi hiviShemela bora umerudi ujionee
Mimi niliwateteaa wakina nyageiLee haelewi haya
Naona bendera ya ccm umeifunika na majani ya mgomba

hapana vua kabisa ndio utapendeza valeNimependeza na hii nait dress eeh
Nawe piausiku mwema wanandugu
Lee ndo anantaka banaSio kweli mm simchunii mtu nimpendaye..
Na hua namfata popote alipo niwe nae
Wewe unamtaka leee
mmh hivi kaka mbona unashikilia sana kuhusu shemeji yakoUjengee box la chuma huyu shemu haaminiki kivile bado macho juu
